Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

Umeona Sasa mambo yenyewe ndio hayo!Sio mambo ya kuamka Mtu Mmoja kashiba zake mseto wa choroko na kuanza kubeza watu.
Mikopo si mnachukua kila siku huko duniani?, au siyo ninyi watanzania?
 
Kila mtu kaenda shule kwa faida yake na siyo kwa faida mtu mwingine.

Ndiyo maana hata vyeti vinaandikwa jina moja la muhusika tu.

Kama unataka kuunda vifaa basi nenda kajiunge na VETA ili ufanye hiyo kazi.

Unafikiri kusoma ni rahisi?
 
Kila mtu kaenda shule kwa faida yake na siyo kwa faida mtu mwingine.

Ndiyo maana hata vyeti vinaandikwa jina moja la muhusika tu.

Kama unataka kutengeneza umma nenda kajiunge na VETA ili ufanye hiyo kazi.

Unafikiri kusoma rahisi?
Kuna haja gani ya kuitana Watanzania?.
Tugawane basi nchi kila mmoja ajue anaishije!
Unasoma ili uwe na manufaa yako na kwa Nchi yako na watu wake. Ndiyo maana leo kuna Rais mmoja wa Watanzania wote mzee baba acha kushupaza shingo
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
UDOM hakuna college wanaosoma mambo ya engineering na technology (COET)

ila hata ingekuwepo ingekuwa yale yale tu.


JIBU
Tanzania hatusomi sayansi na technolojia kuanzia primary hadi vyuoni bali tunasoma HISTORY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY 😂😂😂

SO hatuwezi kufanya lolote la maana
 
Kuna haja gani ya kuitana Watanzania?.
Tugawane basi nchi kila mmoja ajue anaishije!
Unasoma ili uwe na manufaa yako na kwa Nchi yako na watu wake. Ndiyo maana leo kuna Rais mmoja wa Watanzania wote mzee baba acha kushupaza shingo
Wewe kaza fuvu tu ukitarajia kunafaika na ujuzi wa mwenzako
 
🤣🤣🤣Hivi si tumeshinda wote hapa tangu asubuhi
 
Sijakuelewa swali lako. Ila elewa kuwa chuma ndiyo baba wa viwanda vyote. Hata ambavyo havitoi bidhaa za chuma.
Nilimaanisha ukiondoa bidhaa za chuma, Kuna vitu vingine vinaagizwa kutoka nje huku wao wakitoa raw materials kutoka kwetu ambazo hatuzitumii kutengeneza vitu vyetu hapa hapa, mfano Pamba
 
UDOM hakuna college wanaosoma mambo ya engineering na technology (COET)

ila hata ingekuwepo ingekuwa yale yale tu.


JIBU
Tanzania hatusomi sayansi na technolojia kuanzia primary hadi vyuoni bali tunasoma HISTORY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY 😂😂😂

SO hatuwezi kufanya lolote la maana
Nadhani hili ndo jibu sahihi kuliko yote
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...



Uitaji Elimu yeyote kujenga huo utopolo wala, naona aibu sana hata kuchangia.
 
Nilimaanisha ukiondoa bidhaa za chuma, Kuna vitu vingine vinaagizwa kutoka nje huku wao wakitoa raw materials kutoka kwetu ambazo hatuzitumii kutengeneza vitu vyetu hapa hapa, mfano Pamba
Zile mashine za ginnery za pamba na spare zake zinaundwa kwa vyuma. Hata mashine za kushona ni za chuma. Moja ya biashara kubwa ambayo Waingereza walifanya wakati wanaanza mapinduzi ya viwanda ilikuwa ni viwanda vya nguo. Waliweza kuunda mashine za kusokota nyuzi.

Chuma ni muhimu kuanzia kujenga viwanda vyenyewe na hata mashine za hivyo viwanda.
 
Nimepita Kariakoo nimeuliza mdoli wa pastiki wa kuvalisha nguo za kuuza nimeambiwa sh. laki mbili kisa yote inatoka China.
 
Jinsi alivyoikandia elimu ya chuo ni kama anachuki na wasomi waliohitimu elimu ya juu..aina hii ya watu ndio wanaosababisha degree holder wakose uthubutu sababu ya kejeli kama hizi ..hakuna asiyepende kugundua na kusolve matatizo ya jamii yake ili kuleta value ya elimu yake..haya basi ww uliyekuwa mtaani wakati wasomi wanamenyeka kusaka GPA ww umesolve nn au umegudua nn ili kusolve changamoto iliyo katika jamii yako..elimu inaumuhimu wake bana haijalishi imetumikaje hata hao unaowasifia walipita mchakato naamin tutafika siku moja
 
Jinsi alivyoikandia elimu ya chuo ni kama anachuki na wasomi waliohitimu elimu ya juu..aina hii ya watu ndio wanaosababisha degree holder wakose uthubutu sababu ya kejeli kama hizi ..hakuna asiyepende kugundua na kusolve matatizo ya jamii yake ili kuleta value ya elimu yake..haya basi ww uliyekuwa mtaani wakati wasomi wanamenyeka kusaka GPA ww umesolve nn au umegudua nn ili kusolve changamoto iliyo katika jamii yako..elimu inaumuhimu wake bana haijalishi imetumikaje hata hao unaowasifia walipita mchakato naamin tutafika siku moja
Kwa elimu gani isiyokuwa na uhalisia wa maisha ya jamii?. Wasomi ndo mmetufikisha hapa na sisi tutaendelea kuwalaumu mpaka kiama!.
Kila siku mnachukua mikopo huko Duniani lkn hatuoni ni kipi cha maana mnachofanyia zaidi kupishana na V8 za milioni 500 huku shule haina hata matundu ya choo. Ni mahesabu gani mnayopiga kuisaidia jamii?.
Leo hii wasomi mmeua mwendokasi badala ya kuendeleza mafundi gereji mtaani sasa wanajinunulia scraper.
Huko mipango miji ndo kabisaa!, leo hii mvua kidogo tu hapo Dsalaam ni mafuriko, yote hii ni sababu ya wasomi.
Nenda hapo Kkoo ujionee maghorofa yasiyo na kiwango yanavyojengwa kila siku, hapo siku yatokee km ya Japan nadhani tutatafutana.
 
Kweli unakuta mtu hajui kwamba unapokata gogo hutakiwi kusukuuuuuma la. Ni unavuta pumzi nyingii unaitoa, shuuuuush... mambo yanaenda menyewee.

Aani ni kama meditation vile😂😂

Unakuta mtu badala atoke kukata gogo ametabasamu, anatoka amekunja sura utadhani alikuwa anagombana. Ujinga tu.

Halafu usiwashangae hao wa kujisaidia, kitu ambacho unajifunza utotoni ndio hadi ujue. Kuna vitu mtu unazaliwa unafanya lakini watu hawakijui. Kupumua kwa mfano. Wapo watu kibao tu hawajui kupumua. Wengi tu😳. Wengi sana

Mnabisha! Unabisha eeeh!??...... basi ingia Youtube, tazama search 'proper breathing technique' au how to breathe well angalia, elewa: halafu jipe maksi
Mi'niko mkucheka tu😀😀😀😀😀😀.
 
Wabongo tunarahisha sana mambo,hivi unadhani hako kadude kanazalishwa gheto eeh?
Serikali hii isiyokuwa na na support yeyote kwenye R&D unategemea nini?
 
Kweli unakuta mtu hajui kwamba unapokata gogo hutakiwi kusukuuuuuma la. Ni unavuta pumzi nyingii unaitoa, shuuuuush... mambo yanaenda menyewee.

Aani ni kama meditation vile[emoji23][emoji23]

Unakuta mtu badala atoke kukata gogo ametabasamu, anatoka amekunja sura utadhani alikuwa anagombana. Ujinga tu.

Halafu usiwashangae hao wa kujisaidia, kitu ambacho unajifunza utotoni ndio hadi ujue. Kuna vitu mtu unazaliwa unafanya lakini watu hawakijui. Kupumua kwa mfano. Wapo watu kibao tu hawajui kupumua. Wengi tu[emoji15]. Wengi sana

Mnabisha! Unabisha eeeh!??...... basi ingia Youtube, tazama search 'proper breathing technique' au how to breathe well angalia, elewa: halafu jipe maksi
How to breathe properly? Huu ni utumwa wa kifikra!
Siyo kila kitu unajifanya unajua.
Breathing ni involuntary action na huwezi kujiendesha kupumua.
 
Back
Top Bottom