Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo asikosolewe kwa kuwa uhuru wa mitandao ni "hisani ya Samia" wala si katiba!?Watanzania ni washenzi sana. Wanamtukana Mhe. Rais wakati kuna kipindi jamii forum ilifungiwa wakawa wanatumia jamii forum ya Kenya na VPN.
Yote hayo Wamesahau
Inatakiwa waongozwe na mtu kama Aliekua rais wa Uganda Idd Amini
Wewe huna tofauti na kile kinyago kilichosema " wasitucheleweshe" kana kwamba wapinzani wamewahi kuongoza hii nchi wakati "wahuni" wenzake wa ccm ndio wanatuita "wananchi wanyonge"wanaokejeli ni wale wafuasi wa Jpm na Wafuasi wa Ndugai.
Hawa washughulikiwe. Wasituharubie nchi.
Sasa ndugu yetu mwenye ID fake unahoji wenye ID fakePamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?
Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!
Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.
Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!
Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!
Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Huyu atukanwi,aliyetukanwa ni Magufuli pekeePamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?
Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!
Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.
Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!
Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!
Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Kwaufupi nikwamba tanzania viongozi wetu ni weupe vichwani, na hata kama wana maarifa basi ni yamepitwa na wakatiNaunga mkono hoja.
P
Hahahaha we endelea kuramba nini kinakuumaPamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?
Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!
Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.
Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!
Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!
Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
KWA moto kiliokupelekea hutakisahau endelea kuotaWewe huna tofauti na kile kinyago kilichosema " wasitucheleweshe" kana kwamba wapinzani wamewahi kuongoza hii nchi wakati "wahuni" wenzake wa ccm ndio wanatuita "wananchi wanyonge"
Pamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?
Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!
Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.
Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!
Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!
Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Kalale pembeni yake sasa. Chuma kinaliwa na kutu.KWA moto kiliokupelekea hutakisahau endelea kuota
Itafungiwa tena 2025 kwenye uchaguzi mkuu.Watanzania ni washenzi sana. Wanamtukana Mhe. Rais wakati kuna kipindi jamii forum ilifungiwa wakawa wanatumia jamii forum ya Kenya na VPN.
Yote hayo Wamesahau
Inatakiwa waongozwe na mtu kama Aliekua rais wa Uganda Idd Amini
Achana nao,unahangaika na watu wenye chuki binafsi?Pamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?
Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!
Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.
Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!
Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!
Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Nomaama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa
mkuu
mbona hats wewe unakoleza rangi..!?