Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

Pamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?

Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!

Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.

Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!

Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!

Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Pale unapotaka kutoa boriti ya jicho la mwenzako. Angalau ungekuja na ID yako halisi ungeeleweka.
 
Pamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?

Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!

Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.

Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!

Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!

Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
No dought maana yake nini kwa kiswahili au kiingereza? Ndo maana mnakuwa Kupe... Hamna kitu kichwani.
 
Sababu za kumkosea nidhamu ni hizi hapa

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
 
Pamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?

Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!

Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.

Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!

Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!

Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Wewe ulitaka wafanye nini?
Unapoandika toa na suluhisho, Mtu anayelalamika bila suluhisho ni mpumbavu

Je na wewe yu mpumbavu?

Mtu anayetaka mawazo yake yawe mawazo ya wote ni mjinga

Je wewe ni mjinga? kama sio mjinga kwanini unataka watu waongee mazuri na kusifu tu

Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na Uhuru wa kuongea na kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba tuliyonao,, ila Uhuru wa kufikia kiwango Cha kukosa nidhamu na adabu kwa kumkejeli na kumtukana Rais wa JMT kwa ID fake hii haikubaliki!?

Ukiangalia comments nyingi za wadau hapa jukwaan kwa ID fake, ama kwingineko huko utaona watu wengi wanasema Huyu Mama tumepigwa, huyu Mama Ni mweupe kichwani, huyu Mama hamna kitu, huyu Mama tumepigwa, Mara hivi Mara vile na matusi mengi mengi yasiyovumilika!!

Ndugu zangu waTZ , muda wa Mama utapita, uzuri kaulj zile za atake asitake tutampa uraisi wa kudumu zimeexpire na Bwana yule, hatuna haja ya kutukana au kumkejeli Rais.

Ni kweli, gharama za maisha zimepanda, Ni kweli tozo Ni nyingi kuzidi kipato Cha mtu mmoja mmoja, lakini Kuna namna Mama huyu anajitahid kuwakwamua wananchi wake, mathalani, kakubali nyongeza ya mshahara kwa watumishi, ametangaza neema ya ajira kwa vijana , kakubali kuweka luzuku kwenye mafuta na huku miradi mengineyo hatuoni ikikwama popote ingawa Ni miradi ya gharama z juu!!

Kama Ni suala la kupanda kwa Deni la taifa, no dought, mtangulizi wake kwa usiri mkubwa kachangia Sana Sana!!

Tumkosoe kwa staha, na si kejeli na matusi ya hapo na pale!
Wanasahau mama ana full power na akiamua kuwa dictator anaweza sema busara na uvumilivu wake Ndio ponapona ya wajinga.
 
Sababu za kumkosea nidhamu ni hizi hapa

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Wewe ni mpumbavu na punguwani,je marehemu jpm alitukanwa naye sababu ni mwanaume ,mkristu na msukuma kutoka chato!!??
 
Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.

Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.

Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.

Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.

Mungu ibariki Tanzania.

Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Kwani Kikwete alishaiuza gesi yote kwa WACHINA?Ajabu Naona hakuna uchangamkiaji wa kuiendeleza wakati huu soko lake likiwa limeshamili dunia nzima!
 
Kama humkubali ni wewe, Mimi namkubali kabisa, Mtu anayetutawala kufuata sheria na Katiba ndo kipimo cha kiongozi mzuri
Nanukuu maneno ya mwalimu Nyererer : Rais anayetawala bila kufuata katiba hatufai, haatufai kabisaaaa.

Sasa linganisha Mama SAMIA na hilo lipunguani lako nani ametia fora kwa kuvunja katiba?

Labda nikupe mifano michache:

1.Wabunge wa kuteuliwa katiba inasema ana uwezo wa kuteuwa wabunge kumi. Punguani lako halikuteuwa wabunge 11 mpaka lilivyoona limevunja katiba likatengua uteuzi wa Abdalla Possi

2. Hela za kodi zinazokusanywa na hazina matumizi yake yanaidhinishwa na Bunge kwa mjibu wa katiba, Punguani lako halikuwa linazigawa barabarani? Tena mleta mada ukome kabisa mwachae Rais wetu SSH atawale kufuata katiba.
So far niko upande wa Samia.
 
Back
Top Bottom