Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Hilo sio gheto mkuu...Mfumo wa maisha ulitengenezwa husiishi peke yako! Ukiona unaishi peke yako ama umelaaniwa, mchawi, au kichaa/chizi. Kama una akili timamu basi jua fika unapigwa matukio na upweke na msongo wa mawazo! Haijalishi utajitahidi kivipi kuwa na gadgets za electronics kukuliwaza! Ebu angalia huyu mdada, kama una D mbili utanielewa
View attachment 3217896
Tofauti ya gheto na chumba ni nini?πHilo sio gheto mkuu...
Hilo ni chumba πππππ
Mazingira yanaonyesha yuko peke yake! Wapi umeona jeans au makubasi ya me?πππAnajifanyisha tu, yuko na huyo mwamba aliyempiga picha.
Chumba ndo kama hicho..Tofauti ya gheto na chumba ni nini?π
π€£π€£Hilo sio gheto mkuu...
Hilo ni chumba πππππ
Duh kila kitu humo humo, ndio sebule, jikoni na dining, bedroom nkMfumo wa maisha ulitengenezwa husiishi peke yako! Ukiona unaishi peke yako ama umelaaniwa, mchawi, au kichaa/chizi. Kama una akili timamu basi jua fika unapigwa matukio na upweke na msongo wa mawazo! Haijalishi utajitahidi kivipi kuwa na gadgets za electronics kukuliwaza! Ebu angalia huyu mdada, kama una D mbili utanielewa
View attachment 3217896
Sasa kama wewe ni ke alafu unazingua mwisho si ndo kama hivi?ππHivi kuna watu wanaishi peke yao kwa kupenda?!
Ebu tuwekee kapicha atii!πNdo lile ghetto la mangwair
I'll pay a million dollar for this! Come again boy!Chumba ndo kama hicho..
Gheto ni kama la rikiboy yaani gheto kama msikiti hata panya akiingia pa kujificha hakuna