Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Tupo!Hivi kuna watu wanaishi peke yao kwa kupenda?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo!Hivi kuna watu wanaishi peke yao kwa kupenda?!
Mfumo wa maisha ulitengenezwa husiishi peke yako! Ukiona unaishi peke yako ama umelaaniwa, mchawi, au kichaa/chizi. Kama una akili timamu basi jua fika unapigwa matukio na upweke na msongo wa mawazo! Haijalishi utajitahidi kivipi kuwa na gadgets za electronics kukuliwaza! Ebu angalia huyu mdada, kama una D mbili utanielewa
View attachment 3217896
Chumba chochote unaona ndoo na sufuria zinafanya utalii wa ndani hilo ni gherroTofauti ya gheto na chumba ni nini?😄
Hayuko peke Ake angalia kulia kwake kuna MacBook air,manake yupo na Mtu ...Yeye anaangalia kitu Fulani kupitia tablet YakeMfumo wa maisha ulitengenezwa husiishi peke yako! Ukiona unaishi peke yako ama umelaaniwa, mchawi, au kichaa/chizi. Kama una akili timamu basi jua fika unapigwa matukio na upweke na msongo wa mawazo! Haijalishi utajitahidi kivipi kuwa na gadgets za electronics kukuliwaza! Ebu angalia huyu mdada, kama una D mbili utanielewa
View attachment 3217896
Utakuwa na shida labdaTupo!
Mi niseme basi Nina matatizo maana kuna mda nawekaga mpaka vifaa vyangu vya kazi kama mashine ya kupamp maji madawaGheto ni chumba kimoja kila kitu umo humo! Sebule/dining/kusoma/kulala/dressing 😛😍😄
Au nakosea mkuu
😄😄😄😄😄 Daaah aiseeeeI'll pay a million dollar for this! Come again boy!
Desktop computer, tablet na laptop ni vitu vitatu tofauti kimatumizi; Desktop computer ni kwa ajili ya nyumbani. Laptops ni kwa ajili ya kwenda nayo kwenye shughuli zako. Tablet ni kama laptop kwa ajili ya shughuri laini zinazoingiliana na laini ya simu. Watu wengi hizo aina tatu wanazo! Hizo gadgets za electronics wengi uzinunua wakidhani zutawaondolea upweke kumbe wapi!😏Hayuko peke Ake angalia kulia kwake kuna MacBook air,manake yupo na Mtu ...Yeye anaangalia kitu Fulani kupitia tablet Yake