Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Hapana nisingekubali lazima tu ningetokomeaNi kweli inauma ila lazima Muzoee
View attachment 3263420
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.Wakati fulani bora lawama, kuliko fedheha. Simba wameogopa kudhalilika wakati huu "wanapokijenga kikosi chao"!
kaalikwa mwenyewe kaja na kijijiUmekunywa Pombe zangu alafu unataka kutoroka 🤣🤣