Hata Kama Ungekua Wewe Ungekubali Kufungwa Mara 5 Mfululizo Kweli?

Hata Kama Ungekua Wewe Ungekubali Kufungwa Mara 5 Mfululizo Kweli?

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Ni kweli inauma ila lazima Muzoee
IMG_2836.jpeg
 
Hapo ni mbio tu. Wamejaribu kujipa matumaini ni wazee. Wanakuta wazee wako kimyaa kabisa wanaendelea kukamua matizeee ya nguvu kumkamua tena. Wameona isiwe kesi.
 
Ujinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala.
 
Wakati fulani bora lawama, kuliko fedheha. Simba wameogopa kudhalilika wakati huu "wanapokijenga kikosi chao"!
 
Back
Top Bottom