Hata kutokee nini, sirudi kuweka makazi yangu Tanzania

Hata kutokee nini, sirudi kuweka makazi yangu Tanzania

Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.

Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.

Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.

Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.

Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...[emoji102]
Mwanaume unalia lia ivo
 
Pumbavu kabisa hiko kibabu cha kizungu chenye jinsia sawa na wewe kilichokuoa ndio kinakupiga mipaipu mpaka unasahau asili yako
 
Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.

Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.

Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.

Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.

Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...[emoji102]
Hii ndio Tanzania ambayo wanaojiita wachumi wamesomea kuiba hela za wananchi na sio kubuni miradi ya uzalishaji.
 
Baki hukohuko utumwani ndugu yangu....si tunapambana kuijenga nchi yetu hivyo hivyo kibishi bishi...

Hata huko unakowasifia walipata taabu hivihivi babu na bibi zao kujenga nchi zao, unafikiri huko uliko mwaka 1820 hawakuwa maprimitive?.... primitive stages kila Taifa linapitia na limepitia na wananchi husika walipambana kuuondoa huo uprimitive sasa wewe umekuta mteremko huko watu wamepambana unafurahia matunda baada ya wewe nawe kupambana kuondoa uprimitive kwenye Taifa lako ili wajukuu zako wafurahie matunda....

tusipende sana kufurahia matunda na urithi wa wengine walioachiwa na mababu zao huku wenyewe tukikwepa majukumu yakujenga nchi kwa manufaa ya wajukuu zetu..... ndio wazungu wanatudharau tunavyoenda kwao na kuleta ujuaji...
 
Usirudi tu maanake tunampango wa kuwarudisha tuliowatoa kwa vyeti feki,tunawapandisha mishahara na madaraja!
Imagine taifa hilo liliwahi kuwa na kiongozi kama Jiwe, huo utani wa kweli, fikiria kama Mungu asingeilia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kuna mtu atakulazimisha kurudi basi!? Usirudi kabisa mwayego

NA HAMNA KITU WATAKUFANYA
Wanasemaga mkimaliza kusoma hko nje mje kufanyia kazi nchi yenu km vile wanalipa wao ada ya shule sldnfufnflsnsb
 
Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.

Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.

Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.

Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.

Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...👀
Mpaka sasa umeifanyia nini Tanzania? Unafikiri hao wazazi wako bila nguvu za Watanzania wangefika huko?
Siku zote sio kila unachofanya ni kwa ajili yako tu, kuna watu wanasaidia yatima, wengine wanasomesha Watanzania wenzao masikini, na mengine mengi, kwa hiyo kuwa na amani tu, tulia uko maisha yetu yanaendelea hata bila wewe.
 
Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.

Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.

Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.

Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.

Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...[emoji102]
Tuliopo Runzewe tunacomment wapi?
 
Back
Top Bottom