my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
-
- #21
Hta wewe utakua unaitolea mate pesa yngu mana sio kwa kupanic hivi ๐ Panic mpk ukufe kabsa Tanzania SIRUDIPumbavu ww na hao wazazi wako wamekulea pasipo na maadili Nani anataka pesa yako we juha
Mwanaume unalia lia ivoHata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.
Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.
Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.
Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.
Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...[emoji102]
Hyo anaeshika mavi ya wazee hku anapokea mshahara mzuri kulko professor TanzaniaUkichoka kushika mavi ya wazee wa kizungu utarudi mwenyewe.
[emoji3][emoji3]Yani wewe kaa huko lakini hela yako lazima tuipate kwenye miradi inayowezeshwa na watu wa marekani.
Hii ndio Tanzania ambayo wanaojiita wachumi wamesomea kuiba hela za wananchi na sio kubuni miradi ya uzalishaji.Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.
Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.
Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.
Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.
Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...[emoji102]
Imagine taifa hilo liliwahi kuwa na kiongozi kama Jiwe, huo utani wa kweli, fikiria kama Mungu asingeilia!Usirudi tu maanake tunampango wa kuwarudisha tuliowatoa kwa vyeti feki,tunawapandisha mishahara na madaraja!
Wanasemaga mkimaliza kusoma hko nje mje kufanyia kazi nchi yenu km vile wanalipa wao ada ya shule sldnfufnflsnsbKwani kuna mtu atakulazimisha kurudi basi!? Usirudi kabisa mwayego
NA HAMNA KITU WATAKUFANYA
We Unafikiri pesa wanatoa bure? Mnalipa zaidi ya pesa wanazotoa halafu zinakuja kufanya maendeleo hku kwaoYani wewe kaa huko lakini hela yako lazima tuipate kwenye miradi inayowezeshwa na watu wa marekani.
Mpaka sasa umeifanyia nini Tanzania? Unafikiri hao wazazi wako bila nguvu za Watanzania wangefika huko?Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.
Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.
Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.
Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.
Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...๐
Ndaishimiye ndo nan?Bora ubaki tu huko huko! Maana hata ukirudi, utaishia tu kuhamia tena Burundi kwa akina Ndaishimiye.
Vyema Sana, pambana.Hyo anaeshika mavi ya wazee hku anapokea mshahara mzuri kulko professor Tanzania
Wanasemaga mkimaliza kusoma hko nje mje kufanyia kazi nchi yenu km vile wanalipa wao ada ya shule sldnfufnflsnsb
Tuliopo Runzewe tunacomment wapi?Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.
Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.
Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.
Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.
Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...[emoji102]