Hata Lissu akishinda, BAWACHA na BAZECHA, na wajumbe wengine wa kamati kuu wasitoe ushirikiano wowote kwa Lissu

Hata Lissu akishinda, BAWACHA na BAZECHA, na wajumbe wengine wa kamati kuu wasitoe ushirikiano wowote kwa Lissu

Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Wazee na wanawake wengi pia wanamuunga mkono Lissu.
Utajua baada ya uchaguzi.
 
Naangalia hapa CCM wamepiga kura kwa wakati mfupi sana ya Wasira.

Chadema jana Bawacha watu 300 kura zinahesabiwa siku 3.

Mbowe akiambiwa na timu yake wanafanya uchakachuaji wa kura na rushwa anakataa. Jawabu lake leta uthibitisho!

Lakini kimazingira hapa kunaonekana kuna namna! Kuna shida mahali!
Pale CCM kwetu hakuna wa kuchallenge.
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Hujui dunia , kwa nini , lissu ndo Mwenyekiti ajae,

Elewa uyu Mwenyekiti Bawacha kura alizopataa so ukizilinganisha na zile ambazo hakupata , ambazo akupata kama mara mbili , vilevile Bazecha so Mbowe kusema amewadhibiti ,hakuna hilo
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Ungemalizia hoja yako na CCM Hoyeeeeh
 
Lumumba buku 7 mnahaha tu

Kunguni wa mama Abdul mgombea mliyempigia upatu kaingia mitini kwenye mdahalo !
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Wewe kibaka wa CCM tuondolee utaahira wako wa kiccm hapa wewe kama nani uwaambie wanachadema jinsi ya kufanya kazi zao,pumbavu kabisa kutwa unaandika ujinga tu hapa.
 
Wewe kibaka wa CCM tuondolee utaahira wako wa kiccm hapa wewe kama nani uwaambie wanachadema jinsi ya kufanya kazi zao,pumbavu kabisa kutwa unaandika ujinga tu hapa.
Nyanoko
 
Naangalia hapa CCM wamepiga kura kwa wakati mfupi sana ya Wasira.

Chadema jana Bawacha watu 300 kura zinahesabiwa siku 3.

Mbowe akiambiwa na timu yake wanafanya uchakachuaji wa kura na rushwa anakataa. Jawabu lake leta uthibitisho!

Lakini kimazingira hapa kunaonekana kuna namna! Kuna shida mahali!
TLS walikua 2200 walitumia masaa yasiyozidi 14 lkn Mbowe na genge lake eti siku 3, kwa wajumbe 300. Sasa wajumbe 1200 siitakua week nzima mkuu.
 
LISSU TUVUUSHEE..🎶🎵🎶MWAAMBA TUPIISHEE...🎼🎵🎶🎵🎶
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Ccm Mwaka huu kazi mnayo
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Kutotoa ushirikiano faida yake ni nini?
 
Unahangaika sana na LISSU, kwanini usijikite kwenye mkutano wenu wa CCM Dodoma!?,wewe ni CCM unajulikana. Nyie ndo mmemponza Mbowe mpaka anaonekana kweli ni agent wa CCM. Kila nusu saa unaanzisha thread against LISSU, huna demu/mke?,hushabikii mpira!?,huna hobby yoyote hata kuangalia movie!???,.. wewe ni LISSU tu masaa 24!?...,watu kama nyie mkizeeka mnakuwaga WACHAWI.
Mwambie huyo maana hajielewi,lissu kamkaa sana kichwani
 
TLS walikua 2200 walitumia masaa yasiyozidi 14 lkn Mbowe na genge lake eti siku 3, kwa wajumbe 300. Sasa wajumbe 1200 siitakua week nzima mkuu.
Huo uchaguzi wa tarehe 21 watu watatoana damu kwa mambo ambayo wanayafanya.

Naamini uchaguzi huu wa Bawacha kwa vile ni wanawake wengi hivyo wana nguvu ya kufanya mafekecha yao!

Ila wa Bavicha wanaume wengi na wanaweza kupambana ndiyo maana wakashindwa.

Huo wa Mwenyekiti lazima watu yaani wanaume watakuwa wengi ili kulinda kura. Huu uchaguzi Mbowe hatoboi! Na akifanya masihara watu watatoana damu na kutengenezeana uwadui wa kudumu.

Mbaya zaidi na Lissu naye ameshaweka wazi! Wanafahamu idadi ya kura watakazopata na wanafahamu njia zote ambazo Mwenyekiti anazozitumia kuvuruga uchaguzi.
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Nani alikuambia kuwa watu wenye akili huwa wanapokea ushauri wa kijinga kutoka kwa watu wanafiki??
 
Back
Top Bottom