Hata mfurahie madhila yaliyompata Polepole, Watanzania wenye nia njema na Taifa hili wapo pamoja nae

Hata mfurahie madhila yaliyompata Polepole, Watanzania wenye nia njema na Taifa hili wapo pamoja nae

Hakuna mtanzania yupo na polepole, tena ilibidi apigwe risasi hata tano ili iwe fundisho kwa wapumbabu kama yeye.

Wakati Mawazo ya Lissu yanapigwa risasi 16 ulikuwa hujazaliwa, au ulishangilia?

ACHA UNAFKI.
😄😄 Walikua wanashangilia wakikata mauno wakisema Lissu amejipiga risasi mwenyewe.Polepole atakua amejiteka
 
Pwani ni chumba la kujipakulia wakati Bara ni Shamba. Hata Msomi wa Bahaya hajui hilo kabaki kufikiri kwamba ukifika Roma ishi kama Mroma.
 
Inashangaza sana kuona wafuasi na wanachama wa upinzani wanafurahia uonevu anaofanyiwa Hamphrey Polepole. Hii yote ni sababu tu alipokuwa mwenezi wa CCM taifa alijenga imani ya CCM kwa wananchi na kusababisha wapinzani wengi kuunga juhudi.

Anakosea nini kukosoa na kusema kweli kuwa Ccm inafanya makosa? Anakosea nini kukosoa juu ya mradi wa JNHP kucheleweshwa bila sababu? Kama kuna harufu za kifisadi juu ya pesa umma, au miradi kama bandari ya Bagamoyo, kuna kosa?

Je, mnadhania watanzania wanaupofu? Hawaoni kuwa Polepole anasimamia wapi?

Watanzania wazalendo wapo pamoja na Polepole.
Haaaa kwenye keyboard mko pamoja nae na Nia zenu njema ila sasa hapo front hakuna anayeweza kujitokeza kuonyesha kuwa pamoja 😄😄😄😄😄
 
Huyu kijana atauwa na utawala huu kwani anapowaweka mafisadi na wahujumu wa maendeleo wazi inawauma ndiyo maana Bulembo kaja wazi kweupe na kutamka jina la POLEPOLE na hata Polepole akiuwa na yote yaliyoanza kummkuta Bulembo anahusika ila timu Samia wamemtuma Bulembo
Polepole anawaamsha wengi hasa ucheleweshaji wa miradi aliyoianzisha brother JPM zaid zaidi wa umeme kwa kisingizio cha CRANE for fucks sake what a crane?? Ona Samia kawatoa Chamriho na Kalemani bila kutaja mapungufu yao kimya kimya why walikuwa ni vikwanza wa dhamira yake ya ucheleweshaji wa miradi ambayo wawili hao walikuwa wanasimamia 24/7
Watanzania jueni kwa Samia yametimia ufisadi unarudi kwa kasi
SGR treini za Dar Moro ilikuwa zianze majaribio November iliyopita leo wamesema labda mwakani
CCM badilisheni katiba tumpate atakayekuwa aghalau nusu ya brother JPM kama ni haja ya rais wa kike wapo wengi siyo lazima Samia mnaona wenyewe
Huko Tanesco tayari kina Makamba washaleta kampuni ya kutoka India kwa malipo ya dollar 30m per year kwa kazi gani only January knows na huko TRC tunasubiri kauli za wabia,,, unatafutaje wabia wakati umeshajenga?? it doesnt make sense
We mpumbavu nini,Rais akutajie mapungufi ya wateule wako wewe kama nani? Na bado huo ni ujumbe tunawapa.
 
Inashangaza sana kuona wafuasi na wanachama wa upinzani wanafurahia uonevu anaofanyiwa Hamphrey Polepole. Hii yote ni sababu tu alipokuwa mwenezi wa CCM taifa alijenga imani ya CCM kwa wananchi na kusababisha wapinzani wengi kuunga juhudi.

Anakosea nini kukosoa na kusema kweli kuwa Ccm inafanya makosa? Anakosea nini kukosoa juu ya mradi wa JNHP kucheleweshwa bila sababu? Kama kuna harufu za kifisadi juu ya pesa umma, au miradi kama bandari ya Bagamoyo, kuna kosa?

Je, mnadhania watanzania wanaupofu? Hawaoni kuwa Polepole anasimamia wapi?

Watanzania wazalendo wapo pamoja na Polepole.
Uache kusikiliza speech za polepole usikilize za naniii?? Kijana amejaa dhahabu tupuu
 
Hakuna mtanzania yupo na polepole, tena ilibidi apigwe risasi hata tano ili iwe fundisho kwa wapumbabu kama yeye.

Wakati Mawazo ya Lissu yanapigwa risasi 16 ulikuwa hujazaliwa, au ulishangilia?

ACHA UNAFKI.
Jinga kabisa ww unauhakika au ndo miongoni mwa Wahuni
 
Kwanza huyo kiroboto kacheleweshwa Sana,tumeziba Domo la gwajima sembuse unyoya? Hilo ni onyo tuu
Kwa upumbavu wenu mnajitokeza mmojammoja na mwisho tutawafahamu nyote mnaohujumu maisha ya wazalendo halisi wa nchi hii.

Mpo wengi mwalipwa kushinda JF.

Kwanza umemsikia Gwajima jana amesema nini?
 
Kwa upumbavu wenu mnajitokeza mmojammoja na mwisho tutawafahamu nyote mnaohujumu maisha ya wazalendo halisi wa nchi hii.

Kwanza umemsikia Gwajima jana amesema nini?
Mkitufahamu ndio mtatufanya nini? Wazalendo 😁😁😁😁😁
 
Mkitufahamu ndio mtatufanya nini? Wazalendo 😁😁😁😁😁
Yawa jambo zuri maana mzee Bulembo mwizi wa fedha za jumuiya ya wazazi amejitokeza na anafahamika kuwa ni mwizi mkubwa.

Serikali mpya baada ya wahuni kuondolewa itawashughulikia ipasavyo hawa wote maana JPM aliwaachia kwa kuwaogopa na bado maisha yake yakahujumiwa.

Yupo raisi aja na huyo atakuwa ni zaidi ya JPM.

Mwacheni Polepole msimzime twataka kusikia mambo mazito.
 
Yawa jambo zuri maana mzee Bulembo mwizi wa fedha za jumuiya ya wazazi amejitokeza na anafahamika kuwa ni mwizi mkubwa.

Serikali mpya baada ya wahuni kuondolewa itawashughulikia ipasavyo hawa wote maana JPM aliwaachia kwa kuwaogopa.
Serikali mpya😝😝 wazalendo au waporwa tonge 🤣🤣..

Kajipangeni upya nyie viroboto.
 
Kwahiyo hii issue ndio mjadala wa sasa baada ya mjadala wa mechi ya Simba vs Yanga? likitoka hili linakuja lipi? ila muda hausubiri mtu.
 
Inashangaza sana kuona wafuasi na wanachama wa upinzani wanafurahia uonevu anaofanyiwa Hamphrey Polepole. Hii yote ni sababu tu alipokuwa mwenezi wa CCM taifa alijenga imani ya CCM kwa wananchi na kusababisha wapinzani wengi kuunga juhudi.

Anakosea nini kukosoa na kusema kweli kuwa Ccm inafanya makosa? Anakosea nini kukosoa juu ya mradi wa JNHP kucheleweshwa bila sababu? Kama kuna harufu za kifisadi juu ya pesa umma, au miradi kama bandari ya Bagamoyo, kuna kosa?

Je, mnadhania watanzania wanaupofu? Hawaoni kuwa Polepole anasimamia wapi?

Watanzania wazalendo wapo pamoja na Polepole.
Mtu yeyote ni mzalendo wa kweli, anayeipenda Tanzania na Watanzania wenzake, kamwe hawezi kusimama na Polepole, mtu aliyekuwa akishirikiana na Bashite na Sabya kuratibu utekaji, uuaji na upotezaji watu.

Huyu anaweza kutajwa kama kinara wa mauaji ya waliokuwa wakihoji matendo ya Serikali na Rais, na wasiotaka kuunga mkono juhudi.

Tunamwomba Rais, aruhusu uchunguzi dhidi ya Polepole, Bashite, Kingai, Mahita, Goodluck na Jumanne. Uchunguzi uanzie pale ghorofa ya 5 Lumumba kwenye chumba alichotenga Polepole kwaajili ya kutesea watu.

Huyu mtu ni shetani, aliye tayari kutenda chochote kwaajili ya cheo. Anajua kuwa uchunguzi unakuja. Anatengeneza mazingira ili aje kuonekana anaandamwa kwa sababu alitoa kauli mbaya dhidi ya Serikali.

Wakati tunamtaka Rais atende haki na kuagiza kufutwa kesi ya kubambikiziwa Mbowe, Polepole aunganishwe na watekaji na wauaji wengine, afikishwe mahakamani. Huyu ndiye alikuwa muandaaji wa orodha ya watu wanaotakiwa kutendewa uovu na wasiojulikana.
 
Back
Top Bottom