Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Teh! Teh!Haa Ili Upate Raha Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh! Teh!Haa Ili Upate Raha Duniani
Wazigua Wa Tanga Wanasema (Kozeza Umo) Raha SanaTeh! Teh!
Aikambe meku!!Wazigua Wa Tanga Wanasema (Kozeza Umo) Raha Sana
Hapa itabidi na mimi unijali tu hakuna namnaNa manua manu
Du umenikumbusha Mulongo, nilishiriki kujenga daraja la Mulongo kuvuka kwenda Uganda enzi izo mwaka 2000 Kama sijasahauKayanga, Omurushaka, Nkwenda, Kyerwa Mpaka Border Mulongo Unaingia Uganda Unapata Huduma Unarudi Home Haraka
hapana sio vyote mimi kuna mshaji wangu namfahamu yeye anameza mara moja kwa mwezi na jamaa amejiweka wazi hafichi hali yake ya maambukiziVidonge ni everygwa, until you die
kiongoz km ni wew au ni uyo jamaa yako km unavodai acheni uo mchezo. ujue cd4 zikipungua kuna fangasi wanajitokeza kwenye ubongo unapata uchizi kabisa na ukifika apo mzee ndo nitoleehapana sio vyote mimi kuna mshaji wangu namfahamu yeye anameza mara moja kwa mwezi na jamaa amejiweka wazi hafichi hali yake ya maambukizi
Maendeleo ya tiba ni kuwa unaweza kuchomwa sindano itakayo dhibiti wadudu humo mwilini na huhitaji kubugia yale madonge kila siku.
Taarifa hii imetolewa rasmi siku ya lile gonjwa 01/12/ ya kila mwaka. Maendeleo haya yako kule wanakotutumia ARV’s kwa msaada.
Hata si ke tunaita kula tunda la kiume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kiusahihi Mwanaume na Mwanamke ni yupi humla mwenzie? Maana nikiwaza mdomo ndiyo hula Ndizi na siyo kinyume chake.Marekebisho kdgo: ilifanya hata tunda nisiliwe kwa Uhuru.
Mmmh!!!!??Hivi kiusahihi Mwanaume na Mwanamke ni yupi humla mwenzie? Maana nikiwaza mdomo ndiyo hula Ndizi na siyo kinyume chake.
Sasa ni kwanini kwenye hili tendo husemwa kinyume chake?
Hata si ke tunaita kula tunda la kiume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayeni bana maanaHuu ni muhogo au muwa bwana, muwa sio tunda ni shina, na muhogo ni mzizi...
Shemeji yako amelipia king'amuzi gani hicho? Kwa muda gani? Hongera kwa kupata Mkuu.Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..Kwa hiyo mkuu unatushauri nini sisi tunaopenda magoma yenye matako makubwa na hatupendi kuvaa Condom ili tusikie utamu
Mkuu salimia huko Kayanga opposite CRDB kunaka min supermarket na grocery....hapo hapo gwaride lilipita..Kayanga, Omurushaka, Nkwenda, Kyerwa Mpaka Border Mulongo Unaingia Uganda Unapata Huduma Unarudi Home Haraka
Millennium HotelMkuu salimia huko Kayanga opposite CRDB kunaka min supermarket na grocery....hapo hapo gwaride lilipita..