karibu sana pm
haina shida naona unataka ukamalizie kale kamjengo Rombo
tatizo lenu wengine hamsomi mada mkailewa mnadandia gar kwa mbele ukigongwa utamlaum nan
baby naomba hela nikanunue kuna nguo nimeipenda halafu wiki ijayo nakuja.
Duh huyo ukishaionja atakuchuna mpaka basi. Endelea kutoa huduma tu ndugu
tatizo sio kuchunwa hata ww ukiwa nashida naweza kukusaidia,tabia yangu mm huwa nafata moyo wangu ukimpenda girl simuachi lazima nigonge papuch kwa garama yeyote ndivyo nilivyo bt kama sijakupenda nakuona kama kichefuchefu
kwa hapo utanifilishi halafu my wife akose hata hela ya bikini,sory wa pm mapedenshee bora niwe muwazi
kwa wewe ninavyokujua labda nikukopeshe na tunaandkishana kabisa kwa mwanasheria ili ukinizingua nuza kamjengo.Siwezi kununua papuchi bei gali hivyo,kwani ina Gold?aya siji tena unaonekana njaa kali basi pole ngoja nikuache usije jitoa roho
Kama unajijua una mpenzi inatakiwa kuwe na mipaka kwa hao marafiki zako,
ushalikoroga mpe tu hizo hela
mi ningekuwa huyo dem nakuomba tu, yani naomba tu
eti una mpenzi hata sisimizi nae ana mpenzi wake