Hata Simba wakizidi Mbugani hupunguzwa, Wamaasai wa Ngorongoro wapunguzwe na iundwe sheria

Hata Simba wakizidi Mbugani hupunguzwa, Wamaasai wa Ngorongoro wapunguzwe na iundwe sheria

Kwema Wakuu!

Mimi sina mengi ya kuzungumza.
Nilikuwa naishauri serikali, iweke utaratibu muhimu na wakudumu. Iunde sheria ya idadi ya watu wanaotakiwa kuishi hifadhi ya Ngorongoro
Ukifanya hivyo mugogoro utajirudia, hao watu wapo toka miaka ya 60 ukichukulia.maeneo mengine miaka ya 60 yalikuaje utashangaa idadi imeongezekabo,sheria ibadilishwe watolewe hapa tujadili fidia
 
Mradi wa Bwawa la Nyerere Unapaswa kukamilika mapema.
 
Kati ya hao wanyama na Wamasai ni nani kamkuta mwenzie hapo Ngorongoro? Aliyemkuta mwenzie ndo apungunzwe
 
Ukifanya hivyo mugogoro utajirudia,hao watu wapo toka miaka ya 60 ukichukulia.maeneo mengine miaka ya 60 yalikuaje utashangaa idadi imeongezekabo,sheria ibadilishwe watolewe hapa tujadili fidia


Ni Sawa kabisa lakini ikiwekwa sheria vizuri kuhusu idadi ya watu wanaopaswa kuishi hapo ikasimamiwa vizuri sidhani Kama itakuwa shida, maana moja ya sifa ya hifadhi hiyo ni watu kuishi humo.
Kuwaondoa itaondoa sifa yake muhimu
 
Hiv una Elimu ya Uhifadhi Kweli?

Yani watu tunafikiria Simba awekwe kwenye Endangered Species sababu wanapungua kwa kasi sana


Ukisoma uwe unaelewa mantiki ya kilichoandikwa.

Naona unamaarifa mengi lakini unashindwa kuelewa logic ya vitu vidogo Kama nilichoandika.

Simba, fisi au mnyama yoyote ambaye ningemtumia angekuwa mfano endapo ataonekana kuzidi mbugani au hifadhini hadi ikaonekana anaathiri Ecosystem ya eneo hilo hupunguzwa.

Binadamu ni sehemu ya ecosystem, na Kwa muktadha wa ngorongoro inaonekana ongezeko Lao na shughuli zao zinaathiri viumbe wengine.

Kila kiumbe ni endangered species kutokana na matumizi yake yakizidi Kwa viumbe wengine.

Moja ya sababu ya kiumbe kuwa endangered species ni pamoja na;
1. Mabadiliko ya tabia ya nchi
2. Ongezeko la watu linalosababisha shughuli na matumizi ya viumbe Fulani kuwa kubwa
3. Ongezeko la baadhi ya wanyama hasa wala nyama.

Overpopulation inapelekea uhaba wa malighafi.
Iwe overpopulation ya mnyama, binadamu au mimea.

Umezungumzia kuhusu natural death, sijui kama unajua maana yake,
Hiyo natural death Kwa nini haimkumbi mwanadamu mpaka azidi na kuiathiri hifadhi au mbuga?

Lazima ujue kuwa kuna viumbe ambao wanatumiwa na viumbe wengine wengi na wapo ambao hawatumiwi Sana. Na zipo sababu za Jambo Hilo; Kwa mfano, baadhi ya viumbe ni sumu Kama vikiliwa na viumbe wengine, na pili baadhi ya viumbe vinaakili na utashi mfano binadamu hivyo hujihami na kuepuka kuuliwa au kuliwa na viumbe wengine.
 
Acha upopoma wewe jamaa, wapi wanafanya hivyo? Tofautisha kati ya National Park, Game Reserve na Protected Areas. Halafu ujue ni wapi wanafanya Trophie Hunting na wanyama wanotumika kama bait ni Nyati, Nyumbu na Swala

Sasa mwanadamu utamfanyia Trophie hunting akizidi ndani ya national park, au Game Reserve au protected areas?

Ili ujue wewe ndio popoma.

Unafikiri sijui tofauti Kati ya hifadhi za taifa na mbuga za taifa?
 
Kwema Wakuu!

Mimi sina mengi ya kuzungumza.

Nilikuwa naishauri serikali, iweke utaratibu muhimu na wakudumu. Iunde sheria ya idadi ya watu wanaotakiwa kuishi hifadhi ya Ngorongoro kulingana na Ecosystem ya pale. Kisha idadi inayozidi wawe wanahamishwa.

Maasai ni Watanzania wenzatu hivyo lazima tujali haki zao, lakini piah hata hifadhi na wanyama ni moja ya Rasilimali zetu muhimu Kwa uchumi na Masuala ya kimazingara. Ni lazima tutende Kwa hekima.

Tusiwafukuze, isipokuwa tuongee nao kisha wahamishwe kwenye Maeneo mengine.

Hata Simba au Fisi mbugani wakizidi kuwa wengi Kwa kuzaliana kuna namna ya kuwapunguza aidha Kwa kuwaua, kuwauza, au kuwahamisha mbuga zingine, sasa wamaasai sio wanyama ni watu Kama sisi, hatuwezi kuwaua wala hatuwezi kuwauza, isipokuwa tunaweza kuwahamisha kama sehemu ya ku-balance Ecosystem ya pale Ngorongoro.

Hayo mengine ya Siasa sidhani kama yanaumuhimu wowote.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
UTU wa binadamu haulinganishwi na wanyama hata Mungu alitofautisha.
 
Hao wamasai lazima Wafurushwe haraka iwezekanavyo...Hakuna kuleta siasa hapa... Mimi nasema Jeshi litumike na iwe ni special Operation...
 
Binadamu wanamazingira Yao Kama walivyowamyama.

Sio Kwa sababu wewe ni Binadamu ndio uathiri viumbe wengine kwa kisingizio cha utu wako
Mazingira ya wanyama ni yapi na ya binadamu ni yapi, unaweza kutuambia kati ya wamasai na wanyama nani alitangulia kuishi Ngorongoro, au kabla ya wamasai kuanza kuishi humo walitokea wapi.
 
Kwema Wakuu!

Mimi sina mengi ya kuzungumza.

Nilikuwa naishauri serikali, iweke utaratibu muhimu na wakudumu. Iunde sheria ya idadi ya watu wanaotakiwa kuishi hifadhi ya Ngorongoro kulingana na Ecosystem ya pale. Kisha idadi inayozidi wawe wanahamishwa.

Maasai ni Watanzania wenzatu hivyo lazima tujali haki zao, lakini piah hata hifadhi na wanyama ni moja ya Rasilimali zetu muhimu Kwa uchumi na Masuala ya kimazingara. Ni lazima tutende Kwa hekima.

Tusiwafukuze, isipokuwa tuongee nao kisha wahamishwe kwenye Maeneo mengine.

Hata Simba au Fisi mbugani wakizidi kuwa wengi Kwa kuzaliana kuna namna ya kuwapunguza aidha Kwa kuwaua, kuwauza, au kuwahamisha mbuga zingine, sasa wamaasai sio wanyama ni watu Kama sisi, hatuwezi kuwaua wala hatuwezi kuwauza, isipokuwa tunaweza kuwahamisha kama sehemu ya ku-balance Ecosystem ya pale Ngorongoro.

Hayo mengine ya Siasa sidhani kama yanaumuhimu wowote.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa namna yoyote iwavyo: Wamasai wakihamishwa ama kubakizwa ni wakati muafaka wananchi wajitokeze kupinga ujenzi holela wa hoteli za kitalii ndani ya NCA.
 
Mazingira ya wanyama ni yapi na ya binadamu ni yapi, unaweza kutuambia kati ya wamasai na wanyama nani alitangulia kuishi Ngorongoro, au kabla ya wamasai kuanza kuishi humo walitokea wapi.
Siku zote binadamu ndiye anayewakuta wanyama na viumbe wengine
 
Back
Top Bottom