Hata Simba wakizidi Mbugani hupunguzwa, Wamaasai wa Ngorongoro wapunguzwe na iundwe sheria

Huwa Kuna utaratibu wa kuondoa watu nadhani ni mwaka huu watu wanasikia au sijui ni siasa Ila huwa Kuna utaratibu wakupunguza watu au mifugo sana sana lakini kwa kipindi hiki idadi ya watu imezidi maradufu na Ngorongoro haina uwezo wakubalance ecologia maana nyumba za udongo zimeendelea kuongezeka na shughuli za binadamu na hii inahathri maisha ya wanyama pia ongezeko kubwa la mifugo pia linaleta ushindani katka malisho na maeneo ya kupumzika na haya yote husababisha wanyama kupungua kwa kwenda mbali zaidi au kujifisha, kufa au kupunguza kasi ya kuzaliana.

Lingine nikukujuza ya kwamba idadi ya simba, au fisi au mbwea au mbwa mwitu au chui au duma haiwezi kuzidi idadi ya swala, nyati au punda hii ni naturally katika ecologia kwa sababu ya ushindani wa kimaisha katika utafutaji wa chakula na nguvu ndo maana leo Simba jike anaweza kuwa ni vitoto 6 ila ukarudi baada ya miezi 2 ukakuta kabakia na kitoto kimo, au hana kabisa mfano, utakuta pride yani familia imevamiwa na wonderer Yani Simba dume asiekuwa na pride wala territory na huyo Simba dume akimshinda na akifanikiwa kumpiga Simba dume mmiliki basi lazma vile vitoto vyote vitauliwa na wonderer kisha kupandikiza mimba yake kwa jike huyo ili kupata uzao wake. Mfano pia ulikuta vitoto vimepungua huwa nikutokana na janga Kama ilo au vitoto vya Simba kuuliwa na fisi au nyati na magojwa.

Yote 9, Tanzania ni yetu sote na ni kubwa sana, hao watu hawashindwi kupatiwa maeneo mengine makubwa ya kuishi Kama wengine na maisha yataendelea vizuri tu Ila hawa wanyama hawana pakwenda pale ndo kwao sio kwamba utawaamisha kupeleka pori jingine wakati kule Kuna wanyama wa lilepori husika pia kila pori wanyama hutofautiana kulingana na pori ecologia yake mfano tembo wa tarangire ni wakubwa na wengi kuliko mapori yote Tanzania Kama sikosei, pia Simba wa Ngorongoro ni tofauti na Simba wa Serengeti Yani Simba wa Ngorongoro ni wafupi kidogo kuliko wa Serengeti, au tuseme ni Simba tu wa Tarangire ndo wanauwezo wakupanda na kukaa juu ya miti hii tabia haiko kwa Simba wa mapori mengine au pia Tembo wa Lake Momela(Arusha national park) ni tofauti na wa mapori mengine Yani wana vinyoleo kidogo kwasabu wanaishi karibu mazingira ya Mlima Meru tofauti na tembo wa kwenye mapori mengine
 
Mkuu nakubaliana nawe, kwamba wamaasai wakizidi wahamishiwe sehemu nyingi kama vile zamani wachaga adhani na hao wamasai na wasukuma walihamishiwa mikoa mingine kama Morogoro kwa kuwa sehemu walizokuwa wanaishi/wanaka ardhi (eneo) lilikuwa limejaa
 
Naunga mkono hoja.. kama wamekuwa wengi zaidi wapunguzwe au waondolewe. Kwa sababu si lazima kuishi Mbugani.
 
Mkuu umeelezea kwa uchungu na kwa ufasaha sana juu ya hoja hizi. Ni kweli kabisa kwamba Ngorongoro ni Mamlaka na hizi za TANAPA ni hifadhi. Mamlaka ina mchanganyiko wa wanyama pori na watu wenye kufuga wanyama wao. Aidha mahoteli nayo yanahatarisha ustawi wanyama hivyo ni busara Serikali ikapunguza mahotel yakajengwe nje ya Mamlaka (Karatu), wamasai na mifugo yao wawepo kwa idadi inayo kubalika kwa usawa unaoendana na eneo husika na wale wanao zidi watafutiwe eneo rafiki kwa makazi.
 
Maadamu wenzetu wamasai wanakubali kwamba wao nao ni vivutio vya utalii nadhani kuwauza kadhaa for trophy sio mbaya.

Wabaki pale tutakuwa tunakamata kadhaa tunapiga bei, NCAA wapange bei tuanze kazi maana naona wenzetu wanang'ang'ania tuwatam ue Kama kivutioycha utalii.
 
Well said
 
Wamasai ni nomads hivyo kuwahamisha siyo kazi kwa nature yao.
 


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unamasikhara na kina Ole
 
Sasa mwanadamu utamfanyia Trophie hunting akizidi ndani ya national park, au Game Reserve au protected areas?

Ili ujue wewe ndio popoma.

Unafikiri sijui tofauti Kati ya hifadhi za taifa na mbuga za taifa?
Robert kwanza niungane nawe kwa hoja zako zenye mashiko hasa kwenye suala la kuweka ukomo wa idadi ya watu (Maasai) wanaotakiwa kuishi ndani ya Mamlaka ya Uhidhafi ya Ngorongoro, translocation ya Maasai ni changamoto hasa kutokana na nomadic life style yao, lakini pia vizazi vilivyo pita viliingia mkataba na serikali ya wakoloni kuwa wataishi katika eneo la Ngorongoro badala ya kuondolewa eneo la Serengeti. Lakini nikusahihishe kidogo kuwa Tanzania hatuna Mbuga za Taifa ila tuna Mapori ya Akiba
 
Suala la ngorongoro serkali ilifanya uzembe, waliacha mifugo ina outnumber wild animals... Suala la kuwaondoa wamasai na mifugo yao haliepukiki
 
Ndio maana hata hao wanyama wakizidi mpaka kuhatarisha Ecosystem wanapunguzwa, sioni ajabu wamasai Kama sehemu ya Ecosystem wanapozidi na kuhatarisha usalama wa eneo Hilo wakipunguzwa kupelekwa sehemu nyingine.
Hata marekani ilivyoona ongezeko kubwa la watu wakamwaga ukimwi na ebola.
 
Yes hii ni hoja nzuri sana!!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…