Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,

Hehehehhehe....sasa najipatia asilimia ngapi?????


Hatutoi Asilimia tunatoaga UZITO wa jiwe, si ulimuona Mkapa nilimpatia kilo zake? wewe ntakupa kilos pia usijali.....
 
Asante, mashaira sijui shairi nzuri. Lakini sasa linakua baya sababu, hujanitaja wa kwanza.
 
Hahhahaa...
Mi mkareee we mkareee
Tukitembea wote sare sare...
Tunasonga mbele huku tukipare...tukiparee tukipareee
Kina Magulumangu wao watabaki pare pare!

Duh! Hapa Lizzy umetisha to be honest,
Yani umetoa kitu kikaree
Kama dj karekare, kare

Hiyo jazibendi yenu na mimi naombeni nafasi,
 
Lizzy hajaiona na hataiona hii, tuiache iwe siri yetu au sio?

Poa nimekusoma mkuu, lakini mmmh kumsaliti Lizzy roho inanisuta, she's just too sweet to be betrayed, yan bora hata unge ni PM, hapa lazima atapata habari tu nasikia ana wifi yake humu, halafu ni mkare kinoma.
 
Asante, mashaira sijui shairi nzuri. Lakini sasa linakua baya sababu, hujanitaja wa kwanza.



hata ulimi tereza,japo mimi mwanadamu,
kutokuwa wa kwanza,sio kwamba we haramu,
LD nilikuwaza,vinaze havijakimu,
Hata wewe ni staa,kwa majina nimetaja,
 
Aku na mie nataka ubeti wangu

duru bado lijaisha,upo juu wangu gaga,
jamii umeitikisha,busarazo maliaga,
mapenzi siasa isha,fagia fagia gaga,
Hata sisi ni staa,kwa majina nitataja,
 
Poa nimekusoma mkuu, lakini mmmh kumsaliti Lizzy roho inanisuta, she's just too sweet to be betrayed, yan bora hata unge ni PM, hapa lazima atapata habari tu nasikia ana wifi yake humu, halafu ni mkare kinoma.


Nilikoma wifi yake alipojua nachat nae, wewe subiria tu atapojua unammendea Lizzy watakushambulia hao....
 
Wa kike ni mastaa, wa kiume chokoraa.
Subiri iwake taa, siyo kukuru kakara.
Kijani iwake taa,imulike yake sura.
Usije ukamsuta ,kwani yeye si mkara
 
Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.

Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…