Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Kila kitu kwa muda wake....Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Hapo chacha thanx sasa nimepumuaduru bado lijaisha,upo juu wangu gaga,
jamii umeitikisha,busarazo maliaga,
mapenzi siasa isha,fagia fagia gaga,
Hata sisi ni staa,kwa majina nitataja,
Mhhhhhhhhh!!! liweleloMh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Nitaanza kuwataja,kwa majina na tabia,
Afrodenzi namtaja, nyamayao fatilia,
Nilham anakuja,wa rasheedi fatilia,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Judi wetu mwanaheri,asha d sitokuacha,
sweetlady yu mahiri,lizzy ye muarusha,
Brackberry stahiri,kukuacha tutaisha,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Mwanajami1 jamani, jukwaa liwakilishe,
Pearl Matty huerini,Kareen_hapuch miche,
Daughter wake zioni,Blaki woman turushe,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Sio kwamba nakuacha, hili ni duru la kwanza,
Mkao kula kukicha,ntakuja na wa kwanza,
Wewe mwana maisha, kwa jina lake ni minza,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Hivi Caro
kuna ubaya gani kweye hilo shairi dear??/
Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Tunajifurahisha na yeye akiwa mmoja wao au sio?Taratibu Caroline, hii ni mbona poa tu, hutaki watu wafurahi? We ukiwa bored unataka wote wawe bored au? Acha wana jf waendelee kupare, it's good food for brain.
MmmmmhhhhhhWewe huoni hakupewa shavu alilostahili?
Tunajifurahisha na yeye akiwa mmoja wao au sio?
Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Wapi magulu
jamani magulumangu mi hii thread nimechelewa kuiona maskini kwaninni hukunijulisha kwa telephone jamaniii nice one big up.....lakini mi jina lako sikuliona pale ingekuwa baada ya mimi wewe ndio iingekuwa nzuri zaidi hahahah haya tanx hiyo nakupa,,,
Hivi Caro
kuna ubaya gani kweye hilo shairi dear??/
Kila kitu kwa muda wake....
Hapo chacha thanx sasa nimepumua
Mhhhhhhhhh!!! liwelelo