Wewe hujui mpira2 time champion league winner
3 times la Liga winner
Dogo ana same number of assist na Messi kwenye champion league knockout stages
2 champion league final goals
Dogo amebandika hatrik ya kibabe ndani ya UEFA CHAMPION LEAGUE
Unaanzaje kumfananisha na TAKATA ambayo hata ndodo cup hajawahi kubeba?
Wewe hujui mpira
Vini ni player wa kawaida mno
Hizo hatrick zishafungwa sana
Lookman wa Atalanta kafunga hat trick final
Lakini sio Bora sana
Vini ana magoli 14 Kwa msimu,Sasa huyo utampa ballon dor siutakuwa chizi
Angalia viungo kama Rodri kazi wanazofanya
Ballon Dor ni individual award,makombe ni team ndo inabebatofauti yao ni kuwa Vini amebaba Champion league kwenye huo msimu na pessi aliishia second round
Ballon Dor ni individual award,makombe ni team ndo inabeba
Kwa tuzo wanatoa kwa kuangalia magoli?Wewe hujui mpira
Vini ni player wa kawaida mno
Hizo hatrick zishafungwa sana
Lookman wa Atalanta kafunga hat trick final
Lakini sio Bora sana
Vini ana magoli 14 Kwa msimu,Sasa huyo utampa ballon dor siutakuwa chizi
Angalia viungo kama Rodri kazi wanazofanya
Hizi ni tuzo za mihemuko tu.
Kuna wakati ribery ndio alipaswa kushinda ila ghafla tukaona ronaldo anapewa
Kuna ronaldo ndio alitakiwa kushinda ila ghafla akapewa messi
Kati ya hawa nani alistahiliKwa tuzo wanatoa kwa kuangalia magoli?
Vini media zinamkuza tu
Ni player wa kawaida mno
Ni Kwa vile yupo Madrid
Ila vini na matinel pale Arsenal ni sawa tu
Carvajal
Vini
Martinez
Mshindi hakutakiwa kutoka nje ya hapo.
Mashabiki wa Ronaldo na Madrid haoMartinez ana kila sababu ya kuchukua, vinicius hana nidhamu, na wanaomponda rodri wengi wao mashabiki wa ronaldo.
Jina la messi usiliambatanishe na huyo mbrazili tafadhali2 time champion league winner
3 times la Liga winner
Dogo ana same number of assist na Messi kwenye champion league knockout stages
2 champion league final goals
Dogo amebandika hatrik ya kibabe ndani ya UEFA CHAMPION LEAGUE
Unaanzaje kumfananisha na TAKATA ambayo hata ndodo cup hajawahi kubeba?
Martinez ana kila sababu ya kuchukua, vinicius hana nidhamu, na wanaomponda rodri wengi wao mashabiki wa ronaldo.
nidhamu ya aina gani? mbona hatujawahi kuona kufungiwa?
Rodri hakua nasifa ya hata kuingia kwenye kinyang'anyiro achilia mbali kushinda