ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Wewe hujui mpira2 time champion league winner
3 times la Liga winner
Dogo ana same number of assist na Messi kwenye champion league knockout stages
2 champion league final goals
Dogo amebandika hatrik ya kibabe ndani ya UEFA CHAMPION LEAGUE
Unaanzaje kumfananisha na TAKATA ambayo hata ndodo cup hajawahi kubeba?
Vini ni player wa kawaida mno
Hizo hatrick zishafungwa sana
Lookman wa Atalanta kafunga hat trick final
Lakini sio Bora sana
Vini ana magoli 14 Kwa msimu,Sasa huyo utampa ballon dor siutakuwa chizi
Angalia viungo kama Rodri kazi wanazofanya