Miss Curious
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 315
- 497
Unaambiwa utamu wa ngoma ingia ucheze mwenyewe.
Ndivyo niliyoyashudia hivi majuzi baada ya kukutana na kijibrodamen smart kwa nje but domo sijui anatatizo gani yani sio romance tu hata akikuongelesha ùpepo woote wa bahari chafu unavuma kukuelekea mmmhh.
Eti sister sory nadhani ninakufaham if I am not mistaken.
Enhe niambie unanifahamuje?
Oohh unajuaa bla bla kibao
Basi nilikuwa disapointed hataree japo kwa muonekano alinivutia nikamwambia kaka nipe tu namba yako I will call you back kukatisha maelezo.
Nilivyoondoka pale ndio basi tena nikaifutilia mbali.
Ushauri wakaka jitahidini kusafisha ndimi na midomo yenu mnakera.
Ndivyo niliyoyashudia hivi majuzi baada ya kukutana na kijibrodamen smart kwa nje but domo sijui anatatizo gani yani sio romance tu hata akikuongelesha ùpepo woote wa bahari chafu unavuma kukuelekea mmmhh.
Eti sister sory nadhani ninakufaham if I am not mistaken.
Enhe niambie unanifahamuje?
Oohh unajuaa bla bla kibao
Basi nilikuwa disapointed hataree japo kwa muonekano alinivutia nikamwambia kaka nipe tu namba yako I will call you back kukatisha maelezo.
Nilivyoondoka pale ndio basi tena nikaifutilia mbali.
Ushauri wakaka jitahidini kusafisha ndimi na midomo yenu mnakera.