Sababu za kufanya hivyo ninini?[emoji848][emoji3064][emoji25]Mpenzi wangu niliyempenda sana aliniambia nimempa mimba. Akapima nikathibitisha kuwa ana mimba. Nilimwahidi kulea hiyo mimba, nilimwambia uwezo, sababu na nia ya kulea hiyo mimba NINAZO. Baada ya mwezi mmoja tu aliitoa ile mimba. Niliumia sana, nilijuta sana, nililia sana. Sikuwahi kulia kabla lakini niliililia ile mimba. Hadi leo nikikumbuka machozi hunitoka.
Hakunaga kitu ka hchoObama jamani siku ile anaaga white house alimimimika chozi dah ilinigusa
kuna wanaume wanapenda wake zao asikwambie mtu.
Wanawake tunalia sana hasa kwa kuumizwa na wanaume .
Ukiona mwanamke analia kwa ajiri yako jua ipo siku nawe utalia kwa uchungu
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless
Grace Mapunda? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kuna mwanamke anayeweza kumzidi yule mama wa bongo muvi katika sekta ya KULIA !!? kuna watu wanavipaji aisee
Grace Mapunda? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni nani huyo?
Kuna Yule Wa Kaole Sanaa Group Kipindi Cha Nyuma Anaitwa Tea Kama Sijakosea.hivi kuna mwanamke anayeweza kumzidi yule mama wa bongo muvi katika sekta ya KULIA !!? kuna watu wanavipaji aisee
Ooh [emoji23] [emoji1545][emoji1545][emoji1545]nazeeka vibaya sasani muigizaji bongo movie
View attachment 2121969