Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Waligundua wakicheza wangewapa nafasi nyingi simba hivyo wao wakaamua kukaa ktk njia za mpiraAl ahly walicheza kama hawakucheza
Na wakicheza sijui itakuwaje[emoji38]
Shida ni hiiJana nilikuona maeneo ya mbagala umezima, shida ilikuwa nini ?
Wewe ni UtopoloMimi ni Shabiki wa SSC, lakini nina iman sna na consistency ya Yanga na itakuwa ni timu ya ushindani Africa
[emoji23][emoji23]Almanusura ingepata goli la 2 , dah
Halaf utasikia tumecheza vema
Hawana Timu ya kucheza ndio maana hii Timu wakikutana na Timu inayojielewa wanafungwa nyingi walipocheza na CRB kipa wao ndio alikua man of the match..Al ahly walicheza kama hawakucheza
Na wakicheza sijui itakuwaje[emoji38]
Mkuu mimi ni Yanga,Watani wakicheza vizuri nasema sasa mimi kuwasifia Simba ushanipeleka kwa makolo shida ipo wapi sisi wengine tumeanza kufatilia mpira toka enzi za kina Selestine sikinde Mbunga mpira kwa sasa hivi umekua yaani Timu zetu ndio zinashambulia vile wakati tulishazoea wao wakija wana uhakika wa ushindi na mpira wanacheza wao kwa jana Simba ilitawala kiungo mpaka pale walipofanya sub za kina Percy Tau na Modeste ndio Waarabu nao wakaanza kushika mpira...Haya ndio Maneno yenu na mtakuja tena hapa tumekufa kiume. Mpira mkubwa hauhitaji kucheza vyema, mpira mkubwa unahitaji matokeo full stop .
Goli mmefungwa dakika ya 5 , daki tisini nzima mmeshindwa kurudisha hata goli moja?
Kufungwa ni kawaida ni sehemu ya mpira but did you come back ? Mnaruka ruka tu na forward butu isiyokuwa strategically , 7 chances no goal , how do you say mna mshambuliaji?
shida mnaokota wachezaji wanaokuja kujifunzia mechi kubwa kwenu, mnatakiwa kuchukua wachezaji wenye uwezo na experience kwa match za CAF, vunjeni mikataba wachezaji wa maana wapo wengi Africa .
Niliwahi kuwaambia you can’t solve problems kwa kutumia the same level of people . SSC robo fainal kwenu sio tatizo tena , ni robo fainal ya 6 consecutively , na hakuna hata moja hata kwa bahati mbaya mliwahi kuvuka hapo; tuna conclude nini ?
Mnahitaji wachezaji sasa hata watatu wenye uwezo wa kuwavusha hapo. Level ya wachezaji mnao nunua sio tatizo tena kwao kufika robo fainal . Tatizo ni kutoka robo kwenda Mbele , shida ipo hapo.
Sasa watafutwe wengine hata 3 , mshambuliaji ambaye katika chance 3 anapata mbili, tunaita accuracy , kiungo wa maana na beki ya maana ili waweze kusaidiana na hao waliokiwepo.
Tatizo ikiingia sokoni inakuja na wachezaji level ile ile. That means haijifunzi.
Muda mwingi unapotezwa kwenye social media. Mpira ni investment.Na kwa kuwa viongozi ni mbumbumbu, hamjui ni kiasi gani cha fedha mnapoteza kwa kushindwa kufika nusu fainal .
Timu kubwa zimekuwa financial stable kwa sababu mara kwa mara zinafika hadi fainal , mpunga wanapata mkubwa.
Ila SSC nawaambia, msiwe na shaka, huu mwiko wa kuishia robo fainal klabu bingwa UTAKUJA KUBIKIRIWA na Yanga. Mimi ni Shabiki wa SSC, lakini nina iman sna na consistency ya Yanga na itakuwa ni timu ya ushindani Africa
Hawana Timu ya kucheza ndio maana hii Timu wakikutana na Timu inayojielewa wanafungwa nyingi walipocheza na CRB kipa wao ndio alikua man of the match..
Waligundua wakicheza wangewapa nafasi nyingi simba hivyo wao wakaamua kukaa ktk njia za mpira
Timu zetu ni za kawaida kuliko kelele tunazopiga...Sasa timu zetu zinashindwaje kuifunga timu iliyojichokea
Hawana Timu ya kucheza ndio maana hii Timu wakikutana na Timu inayojielewa wanafungwa nyingi walipocheza na CRB kipa wao ndio alikua man of the match..
Timu zetu ni za kawaida kuliko kelele tunazopiga...
Kocha wa Mamelodi wiki iliyopita kasema anaomba pia nao Mamelodi wawe na bahati kama Al Ahly maana hawana Timu ila wanakua mabingwa zipo Timu bora za kuchukua Ubingwa ila sio Al Ahly...Timu bora ichezewe mpira na kina Kibu Denis kweli..angalieni baadae saa kumi Mazembe vs Petro ya Luanda...Kama hawana timu ya kucheza. Mbona karibu kila msimu ubingwa wa africa wanabeba wao ? Ndani ya miaka minne hii wametwaa ubingwa wa africa mara 3. Halafu unasema hawana timu ya kucheza ?
Ushaona hicho kitu kwenye hizo Timu mtu anawaaminisha watu kuwa tuanze kushangilia kuanzia goli la tatu wakati kupata goli moja tu ni mtihani kwenye haya mashindano...mechi moja ya Mamelodi vs Al Ahly walicheza dakika 180 pamoja na za nyongeza mechi mbili alikufa Al Ahly goli moja tuu harafu anatokea mtu akiwaaminisha watu wake kuwa Al Ahly wataifunga kama Galaxy...Mpira wa Tz unachonikera ni kelele nyingi
Yaani kuna ujinga mwingi sana mdomoni...
Ndicho hiki kinachonifanya nisipende kufuatilia mpira wa Tz.
Wale wasemaji wa timu wanaongea kama wanaimba taarabu,upumbavu mtupu.
Tatizo liko hapo. Ukweli mnaukwepaUmejaza kashfa kwa Simba na dharau nyingi.
Uchambuzi wa mpira haipo hivi.
Na Cha kushangaza kuna watu bado wanawasikiliza😂😂😂😂😂😂Ushaona hicho kitu kwenye hizo Timu mtu anawaaminisha watu kuwa tuanze kushangilia kuanzia goli la tatu wakati kupata goli moja tu ni mtihani kwenye haya mashindano...mechi moja ya Mamelodi vs Al Ahly walicheza dakika 180 pamoja na za nyongeza mechi mbili alikufa Al Ahly goli moja tuu harafu anatokea mtu akiwaaminisha watu wake kuwa Al Ahly wataifunga kama Galaxy...
Wale hasa yule marehemu alale mahali pema...majeruhi mungu awape poleNa wale mashabiki waliopata ajali sijui wanaendeleaje
Inauma watu wanapata majanga,na bado timu inashindwa kupambana kushinda.
Mungu awape uponyaji wa haraka majeruhi wote.
Mkuu mimi ni Yanga,Watani wakicheza vizuri nasema sasa mimi kuwasifia Simba ushanipeleka kwa makolo shida ipo wapi sisi wengine tumeanza kufatilia mpira toka enzi za kina Selestine sikinde Mbunga mpira kwa sasa hivi umekua yaani Timu zetu ndio zinashambulia vile wakati tulishazoea wao wakija wana uhakika wa ushindi na mpira wanacheza wao kwa jana Simba ilitawala kiungo mpaka pale walipofanya sub za kina Percy Tau na Modeste ndio Waarabu nao wakaanza kushika mpira...
Timu zetu ni za kawaida kuliko kelele tunazopiga...