Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,135
- 4,306
Talaka kisa chati, grow up.
Utoto unakusumbua, ulifikiri ndoa ni kama kucharge simu ikijaa unachomoa tu.
Hahahahahahahahahah.... Nawazakuwa kutakiwa na sababu nyingine lukuki nyuma ya kudai talaka hii kwa nguvu kiasi hiki.