Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Wanawake kama nyie mnalaza wanaume zenu ndani hamfai hata kidogo.upo tayari hata kumuua wewe. Roho gani mbaya namna hii kama huwezi si muachane kila mtu aishi maisha yake.hapo ndo kosa lako kuu ulipomwachia akuchape hebu amka mwanamke mwenangu mbn dawat la jinsia lipo,mlaze ndan sku moja atie akili