Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeenda mbali sana dada mpaka kwenye kuachana?Ziko sababu za watu kuachana kwa dini zote.Ni moja kati ya hiyo unayoisema?Kwanini usitumie njia ya mazungumzo kwanza hata na watu wake wa karibu basi.Ok mtoto amewakosea nini mpaka mfikie hapo?Hakuna kitu kinamuathiri mtoto kisaikolojia kama kujua wazazi wake waliachana na sasa analelewa na mzazi mmoja wakati mwingine yuko bado hai.Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
May be wapo kwenye process "wanachat kimahaba"Umewafumania wakizini?
Ananipiga, tena hata mbele za watu wengine, nimevumilia, sasa kama kapata mwingine ndio namuachia nae zamu yake aje ayaone.
Mama yangu najua Una Baba na Mama kuna wazee wake Kwa nini usiwahusishe Hao watu ili uone kuliko kuja kushauriwa na Huyu Ambaye anajiita Ndoa yake kuwa na Amani Mrs Air.. ( Mrs Upepo/sijui Hewa)?
Huyu yeye yupo kwake anakaangiza lakini huku anakwambia uondoke.. Mama epuka wanawake wa aina ya Mrs. Air ni watu wabaya sana watu wanaofurahi wewe kuahribikiwa wakati wao wapo makwao wanasugua Gaga.. Ni Nyoka ona sasa umeona kuwa ni haki kwa ulichokiamua.
Labda ungeondoka tu bila kumshutisha kukupa karatasi yoyote sasa hilo swala la kumlazimisha akupe linaweza kuzaa mauti.
Ila nakupa Pole sana hata iweje mimi kama nisingekushauri utoke hapo bali ningekushauri Kwanza kujiangalia kwa nini anakufanyia hivyo inawezekana na wewe unakasoro fulani ya kutokuwa na break unapokuwa unajibizana naye.
Ila sikuonei Huruma hata kidogo
Mama yangu najua Una Baba na Mama kuna wazee wake Kwa nini usiwahusishe Hao watu ili uone kuliko kuja kushauriwa na Huyu Ambaye anajiita Ndoa yake kuwa na Amani Mrs Air.. ( Mrs Upepo/sijui Hewa)?
Huyu yeye yupo kwake anakaangiza lakini huku anakwambia uondoke.. Mama epuka wanawake wa aina ya Mrs. Air ni watu wabaya sana watu wanaofurahi wewe kuahribikiwa wakati wao wapo makwao wanasugua Gaga.. Ni Nyoka ona sasa umeona kuwa ni haki kwa ulichokiamua.
Labda ungeondoka tu bila kumshutisha kukupa karatasi yoyote sasa hilo swala la kumlazimisha akupe linaweza kuzaa mauti.
Ila nakupa Pole sana hata iweje mimi kama nisingekushauri utoke hapo bali ningekushauri Kwanza kujiangalia kwa nini anakufanyia hivyo inawezekana na wewe unakasoro fulani ya kutokuwa na break unapokuwa unajibizana naye.
Ila sikuonei Huruma hata kidogo
Aisee labda ujaribu kujitenga nae kwa muda ila usidai talaka anaweza akajirekebisha.Nimeshirikisha ndugu wananambia nivumilie, nivumilie hadi lini?
Mmm kuchati tu,unadai talaka,utaachika Mara ngapi?Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?