Hataki kunipa talaka

Hataki kunipa talaka

hapo ndo kosa lako kuu ulipomwachia akuchape hebu amka mwanamke mwenangu mbn dawat la jinsia lipo,mlaze ndan sku moja atie akili
Sio suluisho kwakweli na sio wote wenye roho ya hivyo kuwekana ndani. Inaonyesha we ndo wale wakuuza mbuzi kwakes ya kuku
 
Wakishambeba akawekwa lokapu akikaa nyumbani siku mbili akaparara,pesa yakulaa ikaisha anakwenda mwenyewe kumchomoa. Swalaa azungumze nae tuu yaishee


kuna wanaume wajeuri,hebu achkue ushauri anaoona unafaa,nataman angekuwa na moyo km wangu aic,ful busy,sishiki cm wala kugusa laptop yako mie na maisha yangu,pole zake
 
hahahahahhha hujui tu uchungu alionao huyu dada we endelea tu kuhis kaolewa kuondoa mikosi,ndo maana wanawake tunaMUAGA KUBADILIKA MAZIMA ALAF MNAANZA KUJA KULIA LIA hapa huyu mdada akishaweza kujiontrol hasira zake akawa anadharau kila kitu kwa mmewe ,ss hv mumewe ataanza kulia lia oh umebadirika kuna mtu anakudanganya kumbe hamjui chanzo ni nyinyi hapo,
Akishabadilikaa akaanzaa kulia liaaa kwamba umebadilikaa hiyo ndo nafasi yako kumketishaa chini na kumpaa darasaa kwa hekima za kike sio kumsutaa
 
Akishabadilikaa akaanzaa kulia liaaa kwamba umebadilikaa hiyo ndo nafasi yako kumketishaa chini na kumpaa darasaa kwa hekima za kike sio kumsutaa



hahahaha si had sasa aamue kujishusha!
 
Wapuuzi hao kuna matukio kibao ya wanawake kuuwawa au kuachwa na ulemavu alafu MTU anatetea upuuzi.wanawake nao tujitambue uvumilivu una mipaka yake wanaobaki kuteseka ni watoto wako wanaume wachache sana wanaweza kulea watoto.
Uchochezi huo...mwache apiganie ndoa yake..
 
Bado sms si USHAHIDI wa kuomba TALAKA...pili kuchukuwa simu ya mumeo KUPEKUWA unachotafuta nn?sasa kama unaitaka TALAKA YA KWELI....toka KALALE NJE.bila KUAGA.....URUDISHWE KSHO yake..NA DUME....HADI MLANGONI... .hapo utaiona TALAKA...sasa unaidai talaka bado upo ndni?
 
SAVE OUR HUSBANDS!

Why do husbands in Africa die most times before wives? A husband in Africa in most cases is under intense tension because he is responsible for:

Children school fees
House rents
Electricity bills
Medical bills
Generator fuel & repairs
Car fuel and repairs
Feeding of family
Clothes for children
Xmas and New year bills
Furniture &House maint
In-laws wahala/demand
His own aged parents
His siblings most times
His wife's demands
Vigilante bills
Erecting Building
Religious demands
Family social bills
Electronics bills
Recharge cards
Extended family bills
Community demands

On top of the above, he also faces:

Wife stress/insults
Boss stress at work
Police stress on the way
Area boys stress
Kidnappers fear
Friends stress
Economy stress
Fear of job loss
Unemployment pains
Armed Robbery stress
Children misbehaviour
Neighbours stress
Bank loan paymnt stress
Witchcraft stress
Demonic attack stress
Sex stress
....and so on! OMG!!

Are these reasons not enough for all African Wives to understand and give their husbands peace at home? Are men not trying? How can an African man with this kind of load be romantic like an American man? Women, please give your husband peace at home. Encourage your husband. Stop being sarcastic to him. Except if you like to join the widows club early! Note:
That club is not funny. Ask members. Help your husband. Contribute to the family. Be a helper. Be submissive. Stop nagging. Build your home and marriage. It is not greener outside there. Don't be deceived!!
Let our men and husbands live long like you.

CC. Mrs Air........and etal
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Dini yetu pendwa ya kislam ina define kufumaniwa kuzini ni mpaka; kuwe na mashahidi wa nne na mashahidi wote waone kitendo hicho mubashara (live). Hapo ndio ukidai talaka unawezafikiriwa kupewa.
 
kuna wanaume wajeuri,hebu achkue ushauri anaoona unafaa,nataman angekuwa na moyo km wangu aic,ful busy,sishiki cm wala kugusa laptop yako mie na maisha yangu,pole zake
Watuu hawafanani walaa kulinga. Text tuu kataman kuondoka wakat kuna wengine hataa akute wapo kwenye mgegedo walaa hastukii.
 
Pole sana ndugu yangu...muache. Kama yupo miaka 35 kwenda juu usimlaum. Yupo barekh ya pili,,,kama yupo 45 ujue yupo. Barekh ya 3 na unajua adolescence in maji ya moto kua na subira muyamalize kuachana syo poa sana.
 
Post kama hizi ndo zinafanya makampuni ya simu yaongeze bei ya bando. Sasa umemkuta mumeo anachat unakuja kumuanzishia thread jukwaan. Je ungemkuta yuko juu ya kifua? Kuna wanawake wamechoka ndoa sasa huwa wanatafuta visababu vya kuokoteza ili waachane na waume zao.
 
Duuuuh nahiyo miaka saba aliyokufugaa bado unataka kubwaga manyangaaa???? Hahaaa kwakeli walimwengu tumefikia ukingoni
 
Usilolijua sisi wanaume hukla zetu ni kupenda wanawake wengi na kuna wenye kujioneshe na wale wanaoficha...So usipukuwa makini utaomba talaka weeee....
 
Jamanii kuchart tuu ndio uombe talaka!?aah mamy k ongeeni yaishe bora ingekuwa uasherati...mm siijui ndoa lakini kwa hilo hapana tumia uanamke wako kumuweka sawa baba k wako.

Pole.
 
kwnini lakini unakubali kupigwa na ww mamy k?/yaan ajispoil na mademu na bado akupige?naja pm aic nikupe mambinu huko,masuala ya kupigwa yalikuwa kwa bibi zetu aic,tena mwambie kbs sitak unipige siku akikupihga nenda dawat la jinsia fastaaa wanaenda kumbeba
Acha kuvunja ndoa za watu wewe. Unajuwaje mapenzi yao wenyewe mwisho uonekane nyoka bure.hangaika na yako Binti.
 
Back
Top Bottom