Rayban/p
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 1,269
- 917
Sio suluisho kwakweli na sio wote wenye roho ya hivyo kuwekana ndani. Inaonyesha we ndo wale wakuuza mbuzi kwakes ya kukuhapo ndo kosa lako kuu ulipomwachia akuchape hebu amka mwanamke mwenangu mbn dawat la jinsia lipo,mlaze ndan sku moja atie akili