Hataki kunipa talaka

Hataki kunipa talaka

Siku zote Wimbo uupendao ndiyo wimbo uliwahi kuufanya kwa kinywa chako.. Huwezi chukia kitu ambacho hujawahi kufanyiwa au kukifanya ukajua maumivu yake.. Humu Ndani wengi tunajificha kwenye Keyboard ila truth our words tells alot who we are nje ya JF.

Mrs Air wewe ulishapigwa sana na Umeshampeleka huyo Mumeo sana Polisi ndio maana kwako unadhani kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kimahusiano ni Kwenda Polisi. Polisi ipo Kwa wahalifu...Siku Ukimpeleka Mumeo Polisi Jua ndiyo siku umetangaza Vita Nyingine. Acha nireserve comment zangu

hahhhhahha sijawah ht kufinywa shavu mwenzako,nadhan nimekujib inbobo kwako,hajui ht kusonya mume wangu,hajawah ht kumvuta sikio mtoto yaan hajui kupiga,ila nnuimekutana na case km hizo kwa watu wa karibu kwangu
NARUDIA TENA POLESANAAAAA
 
hahhhhahha sijawah ht kufinywa shavu mwenzako,nadhan nimekujib inbobo kwako,hajui ht kusonya mume wangu,hajawah ht kumvuta sikio mtoto yaan hajui kupiga,ila nnuimekutana na case km hizo kwa watu wa karibu kwangu
NARUDIA TENA POLESANAAAAA


Bora umekuja inbobo japo sijaona meseji yoyote... Hahahahaha Wakati nasoma Shule ya Msingi kuna Methali sijui Nahau sijui Misemo ulikuwa unasemaje?

AISIFIAYE MVUA IMEMNYEA.......

Karibu inbox Umujue Akili Unazo ni Nani na Fuatilia Thread zangu angali Ninachohubiri Utamjua Akili Unazo ni Nani...
 
Bora umekuja inbobo japo sijaona meseji yoyote... Hahahahaha Wakati nasoma Shule ya Msingi kuna Methali sijui Nahau sijui Misemo ulikuwa unasemaje?

AISIFIAYE MVUA IMEMNYEA.......

Karibu inbox Umujue Akili Unazo ni Nani na Fuatilia Thread zangu angali Ninachohubiri Utamjua Akili Unazo ni Nani...


teh
 
Duh!!...... yaani kukuta tu anachat ndo unataka talaka???![emoji32][emoji32][emoji32]........ wewe utakuwa ni mwanamke wa makuti aisee!
Kiongozi usiseme hivyo.
Lazma ajisikie vibaya.maana ni mume wake.hapo ameshasalitiwa tayari.
suluhisho ampe talaka yake.au waende kwa wazee wao.
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Huna akili.
 
hahhhhahha sijawah ht kufinywa shavu mwenzako,nadhan nimekujib inbobo kwako,hajui ht kusonya mume wangu,hajawah ht kumvuta sikio mtoto yaan hajui kupiga,ila nnuimekutana na case km hizo kwa watu wa karibu kwangu
NARUDIA TENA POLESANAAAAA
Sasa kwanini umshauri mwenzie aende huko kwenye madawati.
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Itakuwa na wewe unapakwenda nje , kosa hilo ndo linakufanya utake TARAKA ?
NA kama unataka taraka ebu waombe Mama yako , Ma Mdogo , Ma mkubwa na Shangazi wakakuombee hiyo Taraka nazani watakusaidia zaidi Kujuwa Nini Maana ya Uvumilivu Na Msamaha
MWANAUME NI MTU MDOGO SANA ZAIDI YA HUYO MTOTO
kuna baadhi ya MAPISHI umeyasahau
 
Nimevumilia mengi, ila nahisi anachukulia uvumilivu wangu for granted, nimechoka
Vumilia tuu ukiona hivyo anakupenda wewe mwenyewe unajuwa atafanya yoote ila nyumba aliyoijenga ndiyo ata bisha hodi nawe utamfungulia
Kuna mwenzako anamfumania Mme aki chiki chiki chiki na shosti ( matroni ) wake lakini Yule Mke akazidisha UPENDO na Imani dhidi ya Mme wake
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Mwanamke ni kama mtoto. Anahitaji kubembelezwa sana. Lakini wakati mwingine anachapwa na hakuna kubembelezwa.

Mpaka hapo unahitaji kubembelezwa. Jifanye unafunga vitu vyako Tayari kwa kuondoka. Utaona kinachofuata
 
Hacha ujinga ww hakuna mdude wako peke yako ukitaka hiw ivyo ulimzaa mpe ndunye atakuonea huruma na kukisugua kwa mwaka ila baada ya hapo atachepuka tu
 
Mwanamke ni kama mtoto. Anahitaji kubembelezwa sana. Lakini wakati mwingine anachapwa na hakuna kubembelezwa.

Mpaka hapo unahitaji kubembelezwa. Jifanye unafunga vitu vyako Tayari kwa kuondoka. Utaona kinachofuata

nadhan hakuna maisha ya kukera km hayo ya kutishia kuondoka kumbe huna nia hyo,kwann afany hvyo?nadhan hana roho ya kudharau mambo hakuna sumu mby km kumdharau mwanaume and it works yaan uwe busy tu na maisha yako mwenyewe atajistukia,huwez kushindana nao hao,mie sitingish kiberit wala nn ila actions zangu utasema mhhhh huyu kuna kitu behind
,
 
Upo speed kama rocket mama... embu tuliza akili ,punguza hasira ,halafu fikiria future ya mwanao ... halafu jua nafasi yako kama mama ..

Mchepuko ni temporary tu huwa hawakai kama mke ukisimama imara katika ndoa yako.. usikubali mtu kuchukua haki yako kisa tu mwanamke asiyejua thamani yake...

Omba pesa za matumizi kwa upole na upendo na usigusie ujinga wake. Biblia imesema aziniye na mwanamke hana akili.. sasa mumeo kama anazini huko jua hana akili na usipokuwa na akili mwanao anahali ngumu

Si mama imara Sali , Weka malengo katika maisha yenu, angalia mwanao.. basi .
Muhimu wakati wa kusali usijipangie adhabu we mwachie Mungu afanye ...


Lakini kama ulikuwa umeshaamua kuachana nae na ulikuwa unatafuta sababu okey mama endelea tu kumfokonyoa ..
Nilitegemeq umwambie aendelee kumchuna pesa kwanza
 
Back
Top Bottom