hahahahahaha wewe ni mmoja ya wale wanaopiga wake zao sasa hapa lazima ukasirike ,acha kupiga mkeo ndugu yangu siku ukimuua je??nina ndoa imara na nzuri tu aic,tena mume ndo ananipa crdt ananijua vilivyo,tena imagine nina mume msukuma,teh teh,mm sitak kbs mtu anipige aic huwa nareact nkm unavyoniona ,kiufup umenibebesha madhambi bureeee kanisalie na mm aic,[/QUOTE
Kumbe huwa unapigwa na ukipigwa huwa Una React? Ok na Reaction unayoifanya kwa Mumeo ndiyo hiyo unataka Wanawake wengine waziapply kwa Wame zao?
Life has never been uniform hasa katika haya maisha ya Ndoa? Wakati wewe Unaona Sex kila siku ni Mateso kwenye Ndoa wengine wanatamani kupata mwanaume anayedemand, Wakati Wengine wanahitaji Mtu very Understanding na Mshauri Wewe Utahitaji Ndoa ya Wewe kuishi kama Mume ndani.
Your Tongue tell us alot.
Kwa kifupi Siamini katika Kupiga, Mimi Ukianza Vuvuzela lako nasepa zangu halafu nitarudi na rundo ya kile ukipendacho baada ya Hasira kukuisha. Sasa Niambie Kama huyo Msukuma unayejivunia kama anaweza Kukupa hiyo attention.
Hahahahah.. In your entire life usije ukapeleka Matatizo yako ya Kimahusiano Police, Tambua Polisi ipo kwa ajili ya nini.. Ipo kwa ajili ya Wahalifu... Sasa wewe Mwanamke ambaye Polisi ni kimbilo lako umeshamchukuliwa Mumeo Mhalifu?