Hataki kunipa talaka

Hataki kunipa talaka

mamy k endelea na maisha yako mwaya yaan usijiguse kbs kudai talaka,ngj nikupe teknic ambayo itawork out,fanya kila kitu kumhusu mumeo mfano kupika na kufanya kaazii zooote km mke,jipende nyonyo,kuwa updated,yaan kiufupi fanya yako km huna kishughuil tafuta kashughul kokote kale kakukuingizia kipato uza hata genge,tafuta kikoba ,yaan fanya yako mwenyewee atajirudisha kwako,yena usisahau kujipa out mwenyew dadek ,kama unakunywa kunywa zako bia 3 rud ulale,jimpimp had shetani akuonee wivu,hawa wanawaume wanahisig sijui sie hatuna hisia??fanya yako utakuja nuiambia km hataanza kujibamiza kwako mxiew
 
alafu usipende kbs kushika nsimu yamumeo hapo ndo ulipokosea sana aic mie ht sim ya mume wangu ianguke huwa sithubutu kuiokota namwita mtoto ampelekee,na yy yangu hagusi na sitegemei aguse ,yaan ww usiifikirie kbs kuchungulia simu ya nmumeo aic mm niliweza kitambo sanaaaaaaa,yaan jht nuione mamake anampigia simu huwa simwambii yaan FANYA YAKO
 
mamy k endelea na maisha yako mwaya yaan usijiguse kbs kudai talaka,ngj nikupe teknic ambayo itawork out,fanya kila kitu kumhusu mumeo mfano kupika na kufanya kaazii zooote km mke,jipende nyonyo,kuwa updated,yaan kiufupi fanya yako km huna kishughuil tafuta kashughul kokote kale kakukuingizia kipato uza hata genge,tafuta kikoba ,yaan fanya yako mwenyewee atajirudisha kwako,yena usisahau kujipa out mwenyew dadek ,kama unakunywa kunywa zako bia 3 rud ulale,jimpimp had shetani akuonee wivu,hawa wanawaume wanahisig sijui sie hatuna hisia??fanya yako utakuja nuiambia km hataanza kujibamiza kwako mxiew

Nimekupenda bure, ila inauma, unajua mtu unashare na mumeo ulichonacho halafu yeye anahonga nje, inauma jamani
Basi mtu hata akuombe msamaha ndo anakunununia.
 
alafu usipende kbs kushika nsimu yamumeo hapo ndo ulipokosea sana aic mie ht sim ya mume wangu ianguke huwa sithubutu kuiokota namwita mtoto ampelekee,na yy yangu hagusi na sitegemei aguse ,yaan ww usiifikirie kbs kuchungulia simu ya nmumeo aic mm niliweza kitambo sanaaaaaaa,yaan jht nuione mamake anampigia simu huwa simwambii yaan FANYA YAKO

Yangu anagusa, hataki nisave namba zaidi ya za ndugu zangu, mtu hata akosee namba au classmate apige ni kichapo, ndio nikajifunza kugusa yake
 
Umefanya maamuzi sahihi utakufa na stress kukaa na jitu malaya kwenye nyumba mahakama inatoa talaka kwa ndoa halali ikiwa ni kwa sababu ya uasherati, matatizo ya akili n.k nakushauri ufuate utaratibu wa kisheria ukaishi maisha yako yenye furaha tele hilo ni pepo limekukosea alafu linakununia wakati kuna watu wanamwomba Mungu awaonyeshe wake, shenzi.
 
Nimevumilia mengi, ila nahisi anachukulia uvumilivu wangu for granted, nimechoka
Jaribu njia nyingine kwanza!!!
Usimfuatilie kwa mda... Fanya yako!
Asipo badilika ndo fuatilia mambo ya talaka!
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Are you serious? Uvunje ndoa ya miaka 7? Au ni mwanamume suruali tu!
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?


MAMY umenielewa
 
Umekuta chats tu unapanic hivyooo! Pigania ndoa yako mamy!!! Labda kama kuna sababu zingine!
Mianamike yenye mawazo kama haya haifai, baadala ya kutunza ndoa yeye ati kuchati tu. mbona sisi tulifumania kabisa ila bado tunao maisha yanaendelea. Usicheze na talaka!
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Kwanini usiwe mpole kama mamayako?
 
Viumbe wa ajabu hao ukipewa talaka ukaishi peke yako maana huwez kuishi na mwanaume
 
Kwan amekufungia ndan
Ukashindwa kutoka
 
kwnini lakini unakubali kupigwa na ww mamy k?/yaan ajispoil na mademu na bado akupige?naja pm aic nikupe mambinu huko,masuala ya kupigwa yalikuwa kwa bibi zetu aic,tena mwambie kbs sitak unipige siku akikupihga nenda dawat la jinsia fastaaa wanaenda kumbeba
 
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.

Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?

Dada pole sana ila Naomba nikuulize kitu..

Uliolewa kwa kutumia masharti ya Mganga wa Kienyeji? au Kuna Kitu tofauti na Hicho? Uliolewa kwa ajili ya Kuondoa Mkosi ukooni mwenu? Una Umri gani wa Kuzaliwa? Yaani Kuchati tu... Hivi nyie viumbe wa siku hizi mumetoka Ubavuni mwa Wanyama kama Mapaka hata Paka ana Roho Saba hapana , Nini Hasa. Nashindwa hata kukuelewa.

Nikushauri nenda nyumbani katulize hizo hasira za kipumbavu...

Umemkuta anachati na Msichana unataka Talaka. Na ulaniwe.
 
Back
Top Bottom