Acha kazi uone kazi kupata kazi ....most ya wanawake Leo hii wanataman ndoa wanaisikia tuuuu ,, alafu we ndo unataka kutoka ???soon sad ,, kwanza ushukuru umekuta wanachati tu ,napia nisuala lakuzungumza wala usiwe najaziba kiasi iko!!.. Ngoja nikusaidie ushauri wa kisaikolojia alafu ufanye ivo ivo ,,/atabadilika mwenyewe...
Kwanza tambua we nimwanamke mwenye bahati sana ,mzuri na mwenye sifa za kua mke wamtu ndo maana jamaa alikuchagua miongon mwa maelefu ya wanawake !!. So tambua jamaa anakupenda sana kuliko michepuko .
Wewe sasa mtese kisaikolojia ,, hili ndo huwa teso linalowaumiza wanaume nawenda ukashangaa unamkuta kwa wazazi ameenda wamsaidie kutatua tatizo .
Chakufanya ,, wee kua kimya yaan kua kimya jifanye hujui kitu jifanye mjinga yaan jifanye kama hujamfuma ,,, alafu wee endelea na kazi zako za nyumban as usual ,, mpikie ,,maji yakuoga mtengee ,,mnyooshe nguo zake yaan huduma zote unazomfanyia wee mfanyie kimya kimya yaan bila hata kumsemesha ,,, yaan namanisha hata kumfungulia geti we wahi kumfungulia lakini piga kimya kimya .
Alafu suala LA tendo la ndoa we mnyime jikausheeee jikausheee Kabisaa yaan hata kama unaogopa maybe atafanya nje weee mkaushie usimpe kitu Kabisaa .... Fanya hayo wiki moja tu utanipa majibu !!.
Kichwan mwake atakua na maswali Mengi sana ,,mfano ,, "huyu mwanamke mbona amekua ivi?? Kwann anijali sana lakin haongei?? Nijambo gan kapanga kunifanyia??? Ivi inamaana hajisikii hamu ya mapenzi ?? Au Mimi ndo saivi simridhishi ?? Au kapata bwana ??? Mmhhh tukio gan anataka kunifanyia ??? Na maswali Mengi ,,, matokeo yake kwakua anakupenda sana atazidi kuwaza ata akienda kwa mchepuko bado anakuwaza mwisho wa siku uume unashindwa kusimama mbele yamchepuko ,,mchepuko anamdharau ,nakwakujishitukia yeye mwenyewe atahisi kadharaulika kwa mchepuko wake ,,matokeo yake wimbo utafuata
,,,"" naruuuuuuuuuuudi ,,nyimbaaaaaaaaaaaaaani ,, daiiiiiiiima kwakoooooooooooooo,,,
Kwaaaaaaupendooooooo niiiiiiiiiipoke najaaaa nyumbaaaaaaaaàani!!!!.
Alafu byzeway acha kua na akiki as if u a an ordinary school girl ,, ndoa nindoa ndoa inamisuko misuko kutengana kwenu kutasababisha mambo magumu namaisha yatabu kwa MTOTO wenu either alelewe na mwanamke mwingine au alelewe na mwanaume mwingine ...
Mbafu sana ,,nyote wawili mnasitahili viboko tuuuuu.