Hataki kunipa talaka

Talaka kisa chati, grow up.

Utoto unakusumbua, ulifikiri ndoa ni kama kucharge simu ikijaa unachomoa tu.

Hahahahahahahahahah.... Nawazakuwa kutakiwa na sababu nyingine lukuki nyuma ya kudai talaka hii kwa nguvu kiasi hiki.
 
Mwanaume halisi haachi mwanamke jiongeze!!!
 
Wanasemaga, ndoa yahitaji uvumilivu...Sijui wanamaanishaga nini?

Bora ukawa mkweli. Tuambie humpendi halafu tujue jinsi ya kukusaidia ili muachane kwa ugomvi, vita, masimango, visirani etc
 
Mama K njoo nkutulizee... Au ndoa bado inapumuaa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wanawake wa sikuiz ovyo sana, kuachana kisa chatting? Are you serious with a matrimonial union? Ebu acha utani, uliolewa bht mbaya labda. Watu wanafumania cd iko ndani ya deck na yanaisha...utakua humtak tu
 
Mrejesho
 
Wanawake wa sikuiz ovyo sana, kuachana kisa chatting? Are you serious with a matrimonial union? Ebu acha utani, uliolewa bht mbaya labda. Watu wanafumania cd iko ndani ya deck na yanaisha...utakua humtak tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…