Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Babe ukitaka nikapime uje kabisa na greda la manispaa ya Kinondoni...Lakini wanaume kwanini ni wagumu kukubali kupima?
Sipendi ujinga mimi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe ukitaka nikapime uje kabisa na greda la manispaa ya Kinondoni...Lakini wanaume kwanini ni wagumu kukubali kupima?
Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Hebu leta mkojo wako fasta niupime...Leo sio shosti ako ni ww mwenyew[emoji15]
Tutafika tu babe...Nimecheka sana, mmhh babe tutafika kweli?
Tena usiishie Hapa tu.
Baki na msimamo wako hivyo hivyo.
Kuna mzee mmoja anasemaga ananipenda, nilimwambia ukitaka kuwa nani kwenye mahusiano twendwe tukapime.
Anakataaaga.
Kwa vile kapenda ,anakazi ya kunihudumia tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na sitokaa niende nae chobingo kamwe
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
Ili uanze kula njugu kila siku mpaka kifo kitutenganishe.Tutafika tu babe...
Mambo ya kupima, tutapima kama tunataka kushonesha nguo... kiuno hivi sasa ni size 38...
Mi naogopeshwa na kisukari na kansa tu.
Hivi unapima ngoma ili iweje?? Kuna dawa??
Hapana... acha tu kifo kitutenganishe kwa amani. Biashara ya kumuasha ziraili mi simo...Ili uanze kula njugu kila siku mpaka kifo kitutenganishe.
Sina shida na weweTukapime mimi na wewe, tukiwa wazima tukulane
MrejeshoHuyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Hapana... acha tu kifo kitutenganishe kwa amani. Biashara ya kumuasha ziraili mi simo...