Hataki kupima lakini anadai bado ananipenda

Hataki kupima lakini anadai bado ananipenda

Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.

You are very smart lady, you don't need advice from other people.
 
Nimecheka sana, mmhh babe tutafika kweli?
Tutafika tu babe...

Mambo ya kupima, tutapima kama tunataka kushonesha nguo... kiuno hivi sasa ni size 38...

Mi naogopeshwa na kisukari na kansa tu.

Hivi unapima ngoma ili iweje?? Kuna dawa??
 
Tena usiishie Hapa tu.
Baki na msimamo wako hivyo hivyo.
Kuna mzee mmoja anasemaga ananipenda, nilimwambia ukitaka kuwa nani kwenye mahusiano twendwe tukapime.
Anakataaaga.
Kwa vile kapenda ,anakazi ya kunihudumia tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na sitokaa niende nae chobingo kamwe

I'm the queen of my own empire. [emoji182]

Tukapime mimi na wewe, tukiwa wazima tukulane
 
Tutafika tu babe...

Mambo ya kupima, tutapima kama tunataka kushonesha nguo... kiuno hivi sasa ni size 38...

Mi naogopeshwa na kisukari na kansa tu.

Hivi unapima ngoma ili iweje?? Kuna dawa??
Ili uanze kula njugu kila siku mpaka kifo kitutenganishe.
 
Mwaka huu nimeshuhudia vibinti vikaliiii vidogo dogo under 25 vimelazwa kwasababu ya fungus wa Mapafu na ubongo.

Hivi jueni ukimwi upo na hii age ya kula bata hujisahau kumeza dawa hivyo vinakuwa viambukizi balaa
 
Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Mrejesho
 
Back
Top Bottom