Shoshmita
Member
- Feb 12, 2017
- 71
- 38
Hah hah hahMna mda gani tangu mtengane sio siku 2 tu ka rudi unataka ukapime!!!
Unatwangwa maji kwenye kinu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hah hah hahMna mda gani tangu mtengane sio siku 2 tu ka rudi unataka ukapime!!!
Unatwangwa maji kwenye kinu
Lakini wanaume kwanini ni wagumu kukubali kupima?
Old is gold.Yule ni wa kale
Huo sasa ni wizi.si umwambie aache kukuhudumia.kuna siku utazitapika hizo fadhira.Huo sio ujanja hata kidogo.mpaka upigwe uchizi ndiyo utatia akili we endelea kula vya wahengaTena usiishie Hapa tu.
Baki na msimamo wako hivyo hivyo.
Kuna mzee mmoja anasemaga ananipenda, nilimwambia ukitaka kuwa nani kwenye mahusiano twendwe tukapime.
Anakataaaga.
Kwa vile kapenda ,anakazi ya kunihudumia tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na sitokaa niende nae chobingo kamwe
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
Yule ni bro wangu huwa anapenda kunionea Sana ujue.Umenifurahisha sana ujue we na ivuga
Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Sky Eclat ameolewa mda sana huyu, stories zake nyingi ni fiction, analeta ujumbe kwa namna fulani tu. Huwa nacheki threads zake za mda, kama angekuwa anaandika ukweli ingekuwa ana 48yrs huko, but she's just a young lady, hafiki hata 30yrs.Wewe nae embu olewaga basi tukaribie huko kwenye harusi. Kilasiku kuwapostia shost zako humu[emoji3][emoji3][emoji3]
Leo umejitahidi kwa mawili
1. Umepost yanayokuhusu
2.umejitahidi kuficha michapio maana wewe kwa michapio ni level nyingine...na mara nyingi michapio yako inafunga mwaka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Hata mimi nimemuelewa ujumbe wake kwa wanaume huu apa[emoji116]Sky Eclat ameolewa mda sana huyu, stories zake nyingi ni fiction, analeta ujumbe kwa namna fulani tu. Huwa nacheki threads zake za mda, kama angekuwa anaandika ukweli ingekuwa ana 48yrs huko, but she's just a young lady, hafiki hata 30yrs.
Lakini wanaume kwanini ni wagumu kukubali kupima?
Mwanzo alikuwa akinichanganya sana, nikaja kuona anatumia "Kwamtogole" wakati she's very updated kwenye fashion design, vyakula vya kizungu, mmmh sijui zile quality perfumes na deodorant nikajisemea wa kwamtogole hawajui haya mambo.Hata mimi nimemuelewa ujumbe wake kwa wanaume huu apa[emoji116]
Hahaa kumbe kwamtogole ya wazunguMwanzo alikuwa akinichanganya sana, nikaja kuona anatumia "Kwamtogole" wakati she's very updated kwenye fashion design, vyakula vya kizungu, mmmh sijui zile quality perfumes na deodorant nikajisemea wa kwamtogole hawajui haya mambo.
Jamanii.....Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Sky Eclat hebu njoo unisafishe...Nilijua tu babu Asprin hawezi kukuacha salama [emoji23] [emoji23] hahaha anwyz ila dada zetu mna upendo sana, juzi kakuchiti leo anarudi mikono nyuma na unampokea. Endelea tu na maisha yako huyo bwana kama aliweza kutafuta na kupata sababu ya kukusaliti, huko mbele ya safari haitokuwa shida kwake kutafuta sababu za ziada za kurudia tabia zake,kwa mja wa namna hiyo kupima haisadii sana,leo wapima upo salama unaanza kujiamnisha kwake kumbe huku nyuma anaendela kuchoma makaa tu
Jamaniii....Nimekuekea maji na dodoki jisafishe tu sabuni si unayo?
Kimbia bila kugeuka nyuma....Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.