Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Pm situmii mkuu kabisa mods waliondoa pm kwanguNjoo pm kuna zawadi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm situmii mkuu kabisa mods waliondoa pm kwanguNjoo pm kuna zawadi yako
Mwambie atume pesa kwangu. Nina uwezonwa kuigungua kwa ajili yakePm situmii mkuu kabisa mods waliondoa pm kwangu
Hili ni swali lingine tena once a cheater will always be a cheaterNi kweli anakupenda unajua kinachotokea mara nyingi ni kuwa mpenzi anapokuwa na mahusiano ya ziada kuna kitu "kipya" anakitegemea huko na mara nyingi hukuta wewe uko bora zaidi ya kule kwa ziada. una bahati nzuri kuwa wewe ndie uliegundua hayo mahusiano ya ziada trust me wengine hatugunduliwi ila tunajistukia na kuenda kupima alone bila kukuhusisha. Huyo jamaa ataenda peke yake kupima na huenda ashapima raundi ya kwanza na akiwa fresh atakubali mkapime wote. otherwise usikubali kurudi bila kupima. BTW bado unampenda?
HahahahaaaaPm situmii mkuu kabisa mods waliondoa pm kwangu
Na yeye anasubiri tu? !!!!!!!!!Tutacheck tena baada ya miezi mitatu nikiwa ninachunguza
Bro tuma namba nikuwekee mzigoMwambie atume pesa kwangu. Nina uwezonwa kuigungua kwa ajili yake
Twende tukapime na mmLakini wanaume kwanini ni wagumu kukubali kupima?
Lipia mafunzo.Najifunza kupitia ww bro
Hahaha wewe dogo utakuja kuwa moto wa hatari sana ujue.Twende tukapime na mm
Simuombi. Anatuma mwenyewe. Kawaida yangu. Kama sikuhitaji sili chako,
Ila ukijipendekeza ukanipa bila Mimi kukuomba. Nakula
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
Kweli mkuu [emoji4]Hahahahaaaa
AhahhhhhMwambie atume pesa kwangu. Nina uwezonwa kuigungua kwa ajili yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bro tuma namba nikuwekee mzigo
Lakini wanaume kwanini ni wagumu kukubali kupima?
Namuomba MUNGU Usiku na mchana. Aache kujipendekeza. KwanguNdegw mjanja unasa kwenye tundu bovu, iko siku atakuda na anaweza kukupiga 2 in 1. Mimba na HIV juu[emoji1]