mwenda wazimu
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 819
- 1,280
iko siku utaitwa ukachukulie hela chumbani alafu ndo siku uliyo omba mtaji apo ndo utafurahi sasaTena usiishie Hapa tu.
Baki na msimamo wako hivyo hivyo.
Kuna mzee mmoja anasemaga ananipenda, nilimwambia ukitaka kuwa nani kwenye mahusiano twendwe tukapime.
Anakataaaga.
Kwa vile kapenda ,anakazi ya kunihudumia tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na sitokaa niende nae chobingo kamwe
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
Kwanini ule cha mtu kama huna mpango nae