Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Namuomba MUNGU Usiku na mchana. Aache kujipendekeza. Kwangu
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
Hawezi kuacha kujipendekeza kama hautojitenga nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuomba MUNGU Usiku na mchana. Aache kujipendekeza. Kwangu
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
Hata hivyo. Nipo mbali nae.Hawezi kuacha kujipendekeza kama hautojitenga nae.
Hongera kwa ujasiri uliochukuaKupima ni uamuzi wa mtu binafsi, nimekaa miaka 4 bila ya kupima na mechi nilizokua napiga ni hatari. Lakini leo asubui nikaona bora nipime na namshukuru Mungu majibu ni (-ve).
Kaa nae chini mueleweshe labda atakubali.
Hahahahaaaa, kama ww bro etiHahaha wewe dogo utakuja kuwa moto wa hatari sana ujue.
Bei ganLipia mafunzo.
Unacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa afu we kifutuSio mpya.
Kaniacha kwa vile sipendi viandunje
Hongera kwa ujasiri uliochukua
inamaana mpaka sasa ujapata wa uhakika[kuolewa] bado unadandia tu?Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Umenifurahisha sana ujue we na ivugaUnacheka
Mnacho kitafuta kwenye kupima pima mtakipata.Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Nimejikuta nacheka peke angu kama chizi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe nae embu olewaga basi tukaribie huko kwenye harusi. Kilasiku kuwapostia shost zako humu[emoji3][emoji3][emoji3]Ni kheria kuanza safari ya matumaini mapema au kuiepuka
Yule wa kuliamsha dude vipi.. Hujamtafuta tena[emoji16][emoji16][emoji16]Ni kheria kuanza safari ya matumaini mapema au kuiepuka
juzi wa nyama choma na leo wa kwenda kupima,ongeraMkuu kwani inaijua historia ya maisha yangu kama uijuavyo TANU na ASP?