Hataki kuzaa kabla ya ndoa

Hataki kuzaa kabla ya ndoa

Teh, asikudanganye mtu hakuna kanuni maalum ya mtu kuoa au kuolewa.

Njia ulizotumia wewe sizo alizotumia au atakazotumia mwingine, ndiyo maisha.
Tatizo binadamu wanataka ndoa ya makaratasi na sio ndoa ya upendo
 
Hakuna sababu inayoweza kuhalalisha uuaji wa kiumbe kisichokuwa na hatia, hiyo pekee inamfanya akose sifa ya kuwa mke mwema.

Tendo la ndoa ni kwa ajili ya wanandoa. Huo utoaji mimba ni moja ya madhara ya kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa. Muoe.

Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu. Mungu akipenda kuwazawadia ni sahihi, asipopenda pia, yupo sahihi.

Ninasisitiza, tendo la ndoa ni kwa ajili ya wanandoa tu.
kama atakuwa hazai , gegeda beki tatu manake huwa wanashika mimba chap
 
'Mimi sina wazo baya, wala sitaki kumfanyia uhuni wa kumzalisha na kumkimbia, mimi sina mwanamke mwingine zaidi yake ila wasiwasi wangu ni uzazi.'

Ushauri ni mmoja tuu...

muoe binti wa watu... mengine mauchie Mungu, wewe siyo muumbaji...



Cc: mahondaw
 
Nampongeza huyo mdada, anajua uhuni wa wanaume, unaweza kujidai innocent na baada kumpa mimba ukabadilika.

Historia "mbaya" ya familia yake pia inafanya asiweze kukukubalia, hata ingekuwa mimi nisingekubali, single parenting ina changamoto nyingi mno. Waulize walioko humu watakuambia.

She's right!!!
 
Jembe kinje umeongea kila kitu mm na miaka 37 nina watoto 6 na mke wangu nilimkuta ana mmoja jumla tuna watoto 7 nilimzalisha mapacha dabo kama mara 2 jumla na singo mara 2 jumla uzazi wake kazaa mara 5 tu kijana wangu wa kwanza nilimpata nikiwa na umri wa miaka 24 mwaka 2007 kwaiyo sasa kijana mm nakushauri uoe uyo mwanamke mtoto ni majaliwa ya Mungu faza kutoa mimba sio tija wewe Muoe mtoto mtapata uyo binti yuko sahihi %100 oa acha kujaribu mzee nakushauri Muoe kama Kinje alivyosema Over....

121.
Kabla ya yote, Karibu sana jamii foram, naona umejiunga leo asubuhi.

Mleta Mada chukua huu uchauri,na cha zaidi basi mnaweza kwenda hospital kupima nani ana tatizo au ukampime Yeye kama ana huo ugumba au la, ila cha luzingatia Watoto ni majaliwa japo amefanya kosa kitoa mimba hongera umemsamehe lakini, huyo binti ameonja uchungu wa single mother so hapendi kurudia mwelewe na me namsurpport huyo binti na usimuuzi au kumlazimisha ana uchungu na hapendi kufanya makosa Kama ya familia yake.

Kontoro@
pujo
financial services

Karibuni jamani Wapendwa mseme machache.
 
Kwahiyo ukigundua kuwa hawezi kuzaa ina maana hautamuoa ??

We muoe tu akishindwa kuzaa basi mtazaa kupitia surrogate mother !!
Mkuu naomba kufahamu kuhusu surrogate mother tafadhali, naona itakuwa suluhisho kwangu.
 
Ooh unahitaji kujua maana yake au jinsi wanavyopatikana
Daah yani hata sielewi mkuu kuna hali napitia ngumu sana nimeona sehemu umeandika kwamba kama hatakuwa na uwezo kuzaa watatumia hyo nikajikuta natamani kujua kila kitu kuhusu hicho kitu.
 
Back
Top Bottom