Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Hivi unataka kuniambia huku jamii forum kote,,wewe tu ndiyo umeguswa...??
Walioguswa ni wengi ila kwa busara wamekaa kimya...
Kula urithi pole pole rafiki yangu..
Karibu Arusha..!!!!
Mzee wangu nae mali alizikuta kutoka kwa baba yake,akaziendeleza akatuachia sisi wanae,nasi tunaziendeleza kwa ajili ya vizazi vijavyo..hivi ndivyo inapaswa kuwa hata kwako,lakini kwa kuwa ulishafeli,subiri miujiza ya MUNGU,japokuwa MUNGU hapendi watu wajinga wajinga kama nyie,MUNGU humpenda mtu mjanja..
Faza angu alikuwa mjanja,ndo maana tunabarikiwa milele,hakuna mbeba zege,wala mfyatua matofali katika familia yetu...
Acha watu waishi maisha yao,wewe nawe uishi maisha yako..
 
Mzee wangu nae mali alizikuta kutoka kwa baba yake,akaziendeleza akatuachia sisi wanae,nasi tunaziendeleza kwa ajili ya vizazi vijavyo..hivi ndivyo inapaswa kuwa hata kwako,lakini kwa kuwa ulishafeli,subiri miujiza ya MUNGU,japokuwa MUNGU hapendi watu wajinga wajinga kama nyie,MUNGU humpenda mtu mjanja..
Faza angu alikuwa mjanja,ndo maana tunabarikiwa milele,hakuna mbeba zege,wala mfyatua matofali katika familia yetu...
Acha watu waishi maisha yao,wewe nawe uishi maisha yako..
Najua ni jinsi gani post hii imekubana pumbu...hupumui...

Kula urithi kijana
 
Mkuu Bora Umeliona Hilo aisee Huyo Mtoa Mada Ni Fwalaaa Lililopitiliza Acheni Kuwaonea Madogo Wakiendesha BodaBoda Mnatukana Wakilima Majungu Kibao.
Hapo unazungumzia teenagers na dunia mzima wanasifa hizo ukitaka kuanza kuzungumizia wanaume Please at least anzia miaka 29+ na wala sio 29 kushuka chini..

Hata wanawake ukianza kuwazungumzia angalau basi 26+...


Nyie ndo mnatakaga mtoto akae kwenye kochi serious anangalia taarifa ya habari akicheza kidogo kofiiiiiii..Yaani mtu yupo kwenye balehe unamfananisha na wanaume watu wazima????
 
Mtoa mada kuna sehem umefeli,,

KUNYOA KIDUKU.... Hiyo ni hali ya mabadiliko tu ya maisha hata ukiangalia zaman wazazi wetu walikuwa wanapiga mapanki makubwa arafu wanaweka mstari mmoja kati... Na hapo utawaitaje?

MAVAZI.... kutokana na mabadiliko ya utandawazi uwezi ukasema eti watu wavae Raizoni sijui suruali za juu ni banie chini niachie na tena zile suruali zilikuwa zinabana juu na vishati vinavyobana, makabila mengine walikuwa wanavaa ngozi si wanaume si wanawake nusu ya miili yao ipo uchi...lazima watu waende na nyakati...kadri siku zinavyozidi kwenda mambo yanabadilika ...

Yaani mi naona hayo yote uliyoandika yametokana na utandawazi... Maisha ndo yamewashape vijana hivyo...na hata nyie enzi zenu maisha ndo yaliwafanya muwe vile...
 
Wachomwe moto wote aaah sijui miaka ijayo taifa litakuwaje
 
Kwa hiyo kumaliza chuo, unakaa kwa shangazi au shemeji hutaki kazi...unakula mkate mzima mwenyewe hapo kwa shangazi....huo nao ni utandawazi..?
Mtoa mada kuna sehem umefeli,,

KUNYOA KIDUKU.... Hiyo ni hali ya mabadiliko tu ya maisha hata ukiangalia zaman wazazi wetu walikuwa wanapiga mapanki makubwa arafu wanaweka mstari mmoja kati... Na hapo utawaitaje?

MAVAZI.... kutokana na mabadiliko ya utandawazi uwezi ukasema eti watu wavae Raizoni sijui suruali za juu ni banie chini niachie na tena zile suruali zilikuwa zinabana juu na vishati vinavyobana, makabila mengine walikuwa wanavaa ngozi si wanaume si wanawake nusu ya miili yao ipo uchi...lazima watu waende na nyakati...kadri siku zinavyozidi kwenda mambo yanabadilika ...

Yaani mi naona hayo yote uliyoandika yametokana na utandawazi... Maisha ndo yamewashape vijana hivyo...na hata nyie enzi zenu maisha ndo yaliwafanya muwe vile...
 
Kilichoandikwa hapa mmezidi kujilegeza zaidi ya wasichana tunatamani tuzae watoto wa kike kuliko nyinyi wa kiume kwani mnaaibisha zamani shoga tulikua tu najua hakusoma leo hii na wenye vyetu bora wa kike kuliko hii mijitu inayo kazwa kutwa kucha haiwezi kazi ngumu inabeba mabegi mchana kutwa.
Mi ndo maana sipendi kukaa na wazee,wazee wa siku hizi nuksi kinyama,mangu kishenzi wachawi kichizi yaani...!!!..huu ni wakati wetu vijana,tunakula gambe,bata,tuna swaggz,tunalewa,tukifika miaka 50 na sisi tutaokoka na tutaanza kuswali daily,mbona nyie enzi zenu za msondo ngoma,enzi za ujana wenu hatukuwaletea mboyoyo mingi???

Kila mtu apambane na hali yake..sisi tunapambana na ujana wetu,na nyie pambaneni na uzee wenu..
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156
Huyu hapa mvulana mwingine wa Dar
 

Attachments

  • IMG-20190813-WA0014.jpg
    IMG-20190813-WA0014.jpg
    98.5 KB · Views: 16
Huyu hapa mvulana mwingine wa Dar
Ulimbukeni unawasumbua... Ukiwa mwanaume ndo huruhusiwi kutengeneza miguu?... Hapo huoni kama wanasaidiana?... Uyo si anamlipa mwenzake...hiyo hela ya anayolipa ndo anatunza familia yake... Jamaa amebuni biashar ya kutengeneza miguu bado hamtaki,,, watu walianzisha kuuza juis ya miwa mkawa mnawatukana mnawaita wanaume wa dar... Yaanj nyie wazee mliozoea kulima mnataabu kweli... Kwanza mwisho wa mwezi bado tu mpate mafao yenu mpumzike maana vijiwe vya kahawa vimewashinda.
 
Naona umekuja kumsapoti mvulana mwenzako....
Kwa uchumi wa Marwkani unadhani umejengwa na ile milegezo...?

Swala la msingi hapa nyie masharobaro msio na kitu acheni kuzurura na mabegi mgongoni, acheni kuwabanabana ndugu zenu na familia zao.....kaeni kwenu hata kama ni kwenye tembe....

Acheni kuchagua kazi.....watoto mpo laini laini kama kuku wa kisasa...kwa nini msiwe mashoga...

Halafu uwepo wa wavulana kama nyie msiotaka kazi ila mnataka raha ndiyo imechangia ongezeko la wimbi la wizi wa Laptops , smartphone na accessories nyingine za jamii hiyo.....coz kutwa mna kazi ya kubadilishana vifaa hivyo mtaani.
Shubamiti
Watu wasioelewa nchi nyingine zinavyofanya kazi huwa wanajifariji na wanaowaona kwenye media kila siku.
Kuna watu 24/7 anaona jua hardly 4 hours.
Wengine hata habari za kuwa Kuna kujenga familia wamesahau.
Mtu anafika 40 hajawahi gusa mwanaume au mwanamke.
Huku wamejaa vijana lege lege, kazi hawafanyi na ndoto kibao za kufanikiwa.
Wengi wao wanageuka kuwa mashoga
Wezi mitaani
Wauzaji wa madawa ya kulevys
 
Back
Top Bottom