Hatari kwenye soko la ajira

Hatari kwenye soko la ajira

mnisamehe kwa magazeti, hali hii inaniumiza sana kwa watanzani wenzangu wanavyoteseka na nikiangalia mustakabali wa vijana wetu, wajukuu zetu na Taifa letu.
 
Tatizo ni sisi wenyewe hasa uongozi wa juu.
Hawaweki sera zinazombana mgeni na kumpa afueni mwenyeji tofauti na nchi nyingine ambao wao huwatanguliza wazawa kwanza.
 
Ni tatizo sugu Sana , na linaanzia kwenye mamlaka zenyewe hasa immigration na wizara ya ajira kuna rushwa kiwango kikubwa cha kutisha na loop holes za kuruhusu Huu upuuzi kufanyika , hii nchi inatia hasira Sana , Mimi sijui hawa wapumbav kwenye hizo wizara na mamlaka kazi Yao huwa ni nini , na si wahindi Tu kuna wachina nao na wapuuz wengine wachina mahindi wanaletwa humu kama experts na wanapewa vibali vya kazi kabisa bila hata assessment yeyote wakati kuna Lundo la watu wenye hizo qualifications na experience humu za hizo kazi nchini .

Mtu mweusi kalaaniwa ,huwa hatujifunzi hata Kwa wenzetu jinsi migration na wizara ya ajira Kwa wenzetu zilivyostrict ? ,Hivi mtanzania unaweza toka hapa ukaenda hapo Kenya au Uganda ukapata ajira kipumbavu kama inavyofanyika humu ?
Watanzania sitakaa kuwaonea huruma ukifika uchaguz kama kawaida wataendelea kuwachagua viongozi hawa hawa wanafanya huu ujinga, wahindi na wachina wanatakiwa wote waje waishi Tanzania there is no law in jungle
 
Watanzania sitakaa kuwaonea huruma ukifika uchaguz kama kawaida wataendelea kuwachagua viongozi hawa hawa wanafanya huu ujinga, wahindi na wachina wanatakiwa wote waje waishi Tanzania there is no law in jungle
Inahuzunisha sana. Hawa viongozi wachumia tumbo wako radhi wauze hata nchi ili kushibisha matumbo yao.
 
Back
Top Bottom