Hatari kwenye soko la ajira

mnisamehe kwa magazeti, hali hii inaniumiza sana kwa watanzani wenzangu wanavyoteseka na nikiangalia mustakabali wa vijana wetu, wajukuu zetu na Taifa letu.
 
Tatizo ni sisi wenyewe hasa uongozi wa juu.
Hawaweki sera zinazombana mgeni na kumpa afueni mwenyeji tofauti na nchi nyingine ambao wao huwatanguliza wazawa kwanza.
 
Watanzania sitakaa kuwaonea huruma ukifika uchaguz kama kawaida wataendelea kuwachagua viongozi hawa hawa wanafanya huu ujinga, wahindi na wachina wanatakiwa wote waje waishi Tanzania there is no law in jungle
 
Watanzania sitakaa kuwaonea huruma ukifika uchaguz kama kawaida wataendelea kuwachagua viongozi hawa hawa wanafanya huu ujinga, wahindi na wachina wanatakiwa wote waje waishi Tanzania there is no law in jungle
Inahuzunisha sana. Hawa viongozi wachumia tumbo wako radhi wauze hata nchi ili kushibisha matumbo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…