much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Inaumiza sana kuwa na wanaume waogaRwanda hawana ujirani mwema kama unabisha watazame wenzetu DRC wanavyo teseka kisa Rwanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaumiza sana kuwa na wanaume waogaRwanda hawana ujirani mwema kama unabisha watazame wenzetu DRC wanavyo teseka kisa Rwanda.
Duuu machizi mupo wengi tuliko inavyodhaniwaKagame bila kumuogopa m7 sasa hivi angesha tuhenyesha kitambo.
Niliwahi kusoma na mabinti wawili, baba yao alikuwa nafanya halmashauri, binamu yao ni yule Alfa alishinda tusker project fame. Tulikuwa tunadhani watanzania, baadae wakarudi rwanda wote.Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Kwamanahiyo Zenji ni sawa na Hima empire?Andika taratibu kwa ufafanuzi wa kina. Suala la uwekezaji ni la kisheria na kisera, Tanzania inawawekezaji kutoka mataifa mengi Duniani, kwa nini una nongwa na Rwanda?!!
Kuna sheria za uwekezaji, badala ya kuwa na nongwa na Rwanda waambie CCM wenzako wafanyie kazi sheria na sera za uwekezaji ili kujilinda na hatari unazosema. Siyo kwa Rwanda tu, bali wawekezaji wote wa kutoka ndani na nje ya nchi.
Wale wapo kwa ajili ya kazi maalum za kuvuruga uchaguzi na kufuta kabisa upinzaniHaya madai yako umeyathibitisha vipi?
Sijui kama wale UVCCM waliojaa TISS wanaweza kuyafanyia uchunguzi wowote wa maana.
Akina Msukuma hao .....!!Ni rahisi mrundi au mnyarwanda kuingia huku na kuishi ikiwa anajua kiswahili kuliko mtanzania kuingia rwanda na kuishi kwa sababu
1. Watabzania walio wengi hawana interest na nchi za rwanda na burundi
2. Hakuna mtanzania wa kawaida atatia nia kujua kinyarwanda na kirundi kwa sababu sio dili kwao ILA ni rahisi kwa mnyarwanda na mrundi kujibidisha na lugha ya kiswahili ili aje huku.
Ukiishi mipakani kule utaamini unayo ambiwa
Wapo wengi sana wa namna hiyo asee....yan mnakuwa nao afu unakuja kushangaa ghafla tu wamefanya maamuzi ya kurudi huko kwao...Niliwahi kusoma na mabinti wawili, baba yao alikuwa nafanya halmashauri, binamu yao ni yule Alfa alishinda tusker project fame. Tulikuwa tunadhani watanzania, baadae wakarudi rwanda wote.
Sijui ilikuwaje baba yao akaweza kufanya halmashauri na mama yao akawa mwalimu kwenye shule ya serikali
Kwa hili nchi hii kweli ni wajinga sana kama sio wapumbavu,Chaguzi zilizopita wanyarwanda baadhi hasa wadada walijichomeka kugombea nafasi za udiwani na serikali za mitaa huko kanda ya ziwa
Watanganyika halisi niwa hadzabe..halafu hii mipaka ya wakoloni isitutenge na ndugu zetu wa damu.humuhumu jf wapo wengi na watapinga sana wakijifanya watanzania
Mmmmh, hata kama binadamu wote ni sawa ila sio kwa warudi, aisee hao ni watu asilimia kubwa hawana huruma hata kidogo, yaani kutenganisha kichwa cha mtu hawaoni hatari, inshot ni makatili sana sijui sababu ya vita sana huko, roho zao sio, uliza majirani zao Kigoma na kageraNyerere alisema Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.Waafrika tuache kutuhumiana ndio maana hatuendelei .Wazungu wa Ulaya ruksa kuishi popote Ulaya mradi uwe na shughuli yako halali Sisi tunazibiana bila sababu za msingi. Tunafungua nchi kwa wazungu wakati Sisi kwa Sisi tunafungiana
Mtu kama ana shughuli halali mwache
Waafrika tufike mahali tuone Afrika kama nchi moja ambako ni kwetu tusiwe na vimawazo vya kila mmoja kuwaza ohh mimi kwangu Rwanda au kwangu Tanzania au Uganda ni ujinga.
Mleta mada hata wewe ruksa nenda Rwanda kawekeze tena kule Taratibu za uwekezaji rahisi mno.Wame digitalize kila kitu husumbuki
Mawazo ya kila ukimuona mnyarwanda kutuhumu jasusi hiyo si sahihi .Nchi zetu maskini mno tuna hitaji kubwa la kiuchumi tuinuke kuliko kuhangaika na kujasusiana na kila mtu kutuhumu maskini mwenzie kuwa anamfanyia ujasusi
Wale wapuuzi tu hawawezi kujua haya wanaishi kutukana humuHaya madai yako umeyathibitisha vipi?
Sijui kama wale UVCCM waliojaa TISS wanaweza kuyafanyia uchunguzi wowote wa maana.
Nafikiri mnyarwanda wa sasa hahitaji uraia wa tanzania,anahitaji kufanya biashara na tanzania,na mnyarwanda yeyote mwenye pesa yake akitaka kuwekeza tanzania hawezi kuzuiliwa,uoga wa aina hii nikuonyesha kutojiamini na kuamini vyombo vya usalama vya tanzania,inabidi watu tufunguke wakati huu ni wakati wa business sio majungu
Mbona tanzania tuna wabunge na viongozi wa kihindi,somali,warabu n.k mbona hichokitu hamkiongei?je kwakipindi hichochote tangu 1959 mliishawahi sikia hao wakimbizi wa kinyarwanda kuisaliti tanzania?please muachane na huo ubaguzi,kama ni raia kwanini asiwe kada wa ccm ?nimeshangaa kusikia mtu akisema eti wamejaa mwanza ni walimu,sasa wanafundisha mtoto wa nani?badala ya kujivunia kua na watu kama hawa mnaanza kuleta chuki zisizokua na tija.