Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Shida nini wakishika?

Marekani Jaluo wa Kenya Barak Obama kashika Marekani mambo yakawa safi tu.Mkuu wa kitengo cha upelelezi cha CIA marekani ni mhindi

Uingereza Waziri wa fedha mhindii toka India na Waziri wa mambo ya ndani na usalama wa taifa ni mhindi.Fikiria wizara ya usalama wa taifa anakabidhiwa mhindi sio raia mzawa muingereza!!

Waziri wa nishati,biashara na viwanda uingereza ni mtu mweusi toka Ghana Mr Kwarteng

Swala sio kazaliwa wapi ni je yuko vizuri kusimamia nchi na uchumi nk
Unashindwa kuelewa kidogo.

Unaowasema huko nje wanajulikana ametokea wapi pia alishachukua uraia au kazaliwa hukohuko kama Obama.

Mleta uzi anachosema ni kuwa hawa kwetu wanajipenyeza kijasusi maana yake hawana nia njema.

Think out of box
 
Urusi kuna diwani Mwafrika ngozi nyeusi Jean Gregoire Sagbo huyo hapo Sisi Afrika tuko primitive mno Urusi wazungu watupu walimchagua mtu mweusi kuwa diwani eneo lao ambako hakuna mweusi hata mmoja

Jean Gregorie Sagbo, Russian Politician​

jean-gregoire-sagbo-copy-300x221.jpg

Jean Gregoire Sagbo

*Jean Sagbo was born on this date in 1959. is a Black Russian real estate agent and politician.

Jean Gregoire Sagbo was born in Cotonou in the southern coastal region of the Republic of Dahomey (Benin). He immigrated to the USSR in 1982 to study economics in Moscow. He married a woman from Novozavidovo, a town of approximately 10,000 people located 100 km north of Moscow, and moved there in 1989. He has two children.

During his first year in Novozavidovo, Tver Oblast his then four-year-old son Maxim was spat upon. Sagbo confronted the spitter and eventually other onlookers supported Sagbo. Racial attacks have taken place numerous times in Russia, 49 times in Moscow in one year according to an advocacy group. Sagbo speaks in French African accented Russian. About 10 years before his first election, he organized a volunteer effort for an annual garbage collection day. He also planted flowers and cleaned streets in front of his home without pay.

As a counselor, Sagbo collected donations to turn dilapidated lots between buildings into parks. Sagbo was elected in 2010. He has expressed annoyance at being referred to as "Russia's Obama" because the two are both merely Black. The position of a councilor is unpaid. His position is councilor of Novozavidovo in Konakovsky District, Tver Oblast. Sagbo is the first Russian of African descent, or Afro-Russian, to have been elected to a local council in the Russian Federation.

Sagbo has been quoted as saying "Novozavidovo is dying...this is my home, my town. We can't live like this." Vyacheslav Arakelov, the mayor of Novozavidovo said: "His skin is black, but he is Russian inside...the way he cares about this place, only a Russian can care." Sitting in the newly painted playground with her son, Irina Danilenko said it was the only improvement she has seen in the five years she has lived here. "We don't care about his race," said Danilenko, 31. "We consider him one of us."

As he strolled around his neighborhood everyone greeted him and he responded in his fluent, French African accented Russian. Boys waved to Sagbo, who had promised them a soccer field. He has been referred to as "Russia's Obama".
Urusi hawana hata baba wa taifa walikuwa marafiki nae. Warusi ni wataifa sana na wazalendo na wanajali sana utu. Sio kama mabepari wanaojijali wao tu.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Wewe umejuaje kwamba ni majasusi wanaowekeza?
Kuchukua ardhi ya huku haiwezekani kabisa 100%
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
KUSANYA USHAHINDI, PELEKA KWENYE IDALA YA USALAMA WAONYESHE NA WAELEZE.
USALAMA WA TANZANIA UNAANZIA KWA MWANACHI MMOJA MMOJA, USIKAE KIMYA KAMA UNAONA TATIZO.
 
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Hayati Mwl. Nyerere alikuwepo mwaka 1884 Berlin!!?
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Sema watu wa mbari ya kitutsi ndio tuwe nao hofu na kujihadhari sana. Ni watu wenye tamaa kubwa mno ya utawala na mali. Pia ni wabaguzi wa kimbari na ndio chimbuko la matatizo kwenye eneo lote la maziwa makuu.
Miaka yote hiyi ya kadhia na maafa kwao ilibidi wajifunze kuishi kwa usawa na mbari zingine ili wapate amani.
 
Sema watu wa mbari ya kitutsi ndio tuwe nao hofu na kujihadhari sana. Ni watu wenye tamaa kubwa mno ya utawala na mali. Pia ni wabaguzi wa kimbari na ndio chimbuko la matatizo kwenye eneo lote la maziwa makuu.
Miaka yote hiyi ya kadhia na maafa kwao ilibidi wajifunze kuishi kwa usawa na mbari zingine ili wapate amani.
NI WATU WENYE UCHU SANA WA MADALAKA NA TAMAA SANA NA KUJIONA BILA TUSTI PEOPLE , UKANDA HUU UNGEKUWA WA AMANI SANA BRO.
WATUTUSI MJIREKEBISHE MJIFUNZE KUISHI KWA AMANI.
TZ HAPA WAPO WENGI TUU TUNAONA ILA HUKU WAMEJIFUNZA HAWANA DHARAU TUNAISHI NAO TU KAWAIDA.
NA DADA ZAO WANAOLEWA NA WABANTU WA KAWAIDA NA WAMEGOMA KURUDI RWANDA COZ WAMEJIFUNZA KUDHARAU WENGINE SIO VIZURI.
 
Ukosefu wa akili tu..kwahiyo kosa wao kuoa na kuolewa Tanzania..kama wamezaliwa na kuwa raia wa Tanzania ni kosa kufanya kazi serikalini..hivi hizi akili za kijinga hivi huwa mnazitolea wapi.

Hao ndio ndugu zetu kuliko ngozi nyeupe..acha waje acha wajae kila pahala ndani ya nchi yetu.

Kingine kama vipi na ninyi pelekeni watanzania huko wakafanye the same shida nini.

#MaendeleoHayanaChama
Sawa mtusi naona una tetea jamii yenu.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Hivi bado Paul Kagame kuomba kujiunga East Africa community ni mjinga?? Si Kenya si Uganda wala Tanzania kote kule Kagame anawapelelezi.
 
Acheni roho mbaya..ndio amana miafrika hatuendelei..yani ndugu zetu weusi tunawaona maadui..mipaka ya wazungu isituletee utengano na uadui.

Yani unamkaribisha mwarabu halafu una mfukuza mrwanda..huu ni upumbafu na ukosefu wa akili kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
Ishu ni wewe unapojifanya una roho nzuri miongoni mwa wenye roho mbaya...
Wenzako wanakugeuza shamba darasa!
 
Mimi nakupa clue tu,
Hoteli ni za nyota tatu na inne, transport ni kampuni zenye semi zaidi ya 300 kila moja,
Real estate ziko mikoa tisa ukitoa zanzibar
Hakuna kitu kama hicho wamiliki wa biashara na matajiri wa Tanzania ni maarufu Tena mikoa yote ukiacha waarabu, wasomali na wahindi hakuna jamii nyingine yoyote iye inayomiliki biashara kubwa tofauti na wazawa
 
ni kweli kabisa, ingawa hii maneno inakuwa exaggerate, kwanza kabisa hao watu hawana madhara ki vileee, kwani wengi wao ni wazariwa hapa hapa Tz tena huku huku kanda ya ziwa ila baadhi yao wana interest zao ndani ya Congo DRC...…..! na pia uwekezaji wao una tija kweli kweli na unawasaidia sana watu wa kanda ya ziwa, hata kama ni kweli PK mwenyewe ana inject money kufadhili baadhi ya hizo biashara ili ku maximaze profit for his own benefit hii kitu haina madhara kwa usalama wa taifa lenu, ebu acheni uoga uoga nyie wa Tz…… tuachieni siye 'wasukuma' tuendelee kufaini maziwa na nyama za ng.ombe wenye mapembe makubwa, huduma za usafirishaji na mahoteli yenye hadhi ya nyota 3 kwa bei ya kishkaji………….
 
Hivi bado Paul Kagame kuomba kujiunga East Africa community ni mjinga?? Si Kenya si Uganda wala Tanzania kote kule Kagame anawapelelezi.
Na nyie wekeni wapelelezi

Dunia uwanja wa vita mzee

Ova
 
Mimi nilishangaa walipotaka kuwapa mkoa wao wa Chato. Hii nchi siku hizi hatupo siriasi.
Bora waje Maana wanajua watz waoga hata silaha hawana.watanzania viongozi wao hawataki hata kuwaona ili wajisevie mazaga.ukiongea unaonekana unaleta taharuki kwa watz.yangu macho acha niendelee kula ugali dagaa.....
 
Back
Top Bottom