Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

.Mambo ya nchi huwezi yajua mzee,we ishi,Tia watoto wazuri..wenye kazi yao hawalali
Hapana.
Uwezo wa hawa jamaa katika miaka ya karibuni unatia mashaka sana. Haya unayoweka hapa ni majigambo tu kama yalivyo kati ya Simba na Yanga.

Panahitajika kuwepo na kukumbusha umuhimu wa eneo hili, na kukaza sehemu zilizolegea.

Hii siyo kazi ya kufanya kwa mazoea tu.
 
Hapana.
Uwezo wa hawa jamaa katika miaka ya karibuni unatia mashaka sana. Haya unayoweka hapa ni majigambo tu kama yalivyo kati ya Simba na Yanga.

Panahitajika kuwepo na kukumbusha umuhimu wa eneo hili, na kukaza sehemu zilizolegea.

Hii siyo kazi ya kufanya kwa mazoea tu.
Rais mwenyewe hayajui mapana ya tiss..wewe umefanya vipi tathmini ya tiss
 
Aliyesema tembea uone hakukosea. Kuna watanzania ndani ya wilaya ya Misenyi hawajui Kiswahili, wanaongea Ligands Tu na wanatumia sarafu ya Uganda ila kura wanapiga Tanzania. Waha na Warundi wanaongea lugha moja, vivyo hivyo Kwa mkoa wa mara, Arusha, Kilimanjaro na mikoa ya kusini. Hivyo Wanyarwanda na Warundi waachwe wawekeze kama walivyo wamasai, wakurya, wajaluo, Wanakuwa, Wangoni n.k

Ichukue na hii, polisi, na madreva tax wa Dubai si wazawa wa Dubai
Fikra potofu kabisa.
Hao unaowasema wa Dubai, hata hujihangaishi kujua kwamba hawana haki zozote kama raia wa Dubai!

Hayo makabila ya mipakani ni tofauti kabisa na hili swala linalofanywa kwa maksudi mazima tena kwa kuweka mikakati ya nchi husika dhidi ya nchi nyingine.

Hivi unao uwezo wa kuchambua mambo kweli?
 
Hivi mtaacha kuishi kwa hofu ya watutsi hadi lini?

Hizo propaganda mnazopewa za kuwaona ni superior race na intelligent sana zinawadanganya sana

Hao waarabu, wahindi tena wengine hawajui Kiswahili ila ni watanzania mbona hamu hoji?

Mnatakiwa kujua kuwa Kuna Wahima wapo kanda ya ziwa kabla ya uhuru sasa mkiwaona hao kwa kuwa wanafanana na Watutsi basi shingo zinawashupaa na wivu tu
Tunaonewa sana sisi wenye asili ya wahima na tumezaliwa hapa wala hatujui chochote kuhusu Rwanda.Nilishawahi kukutana na
huo ubaguzi mala nyingi
 
Sasa wewe haya unayajuaje?
Tusipotezeane muda hapa. Endlea na yako huko.
Tiss unachukulia,unatrain,unapewa handler,ikitokea mission anakuita mahali...Wana bar zao,au popote pale,unapewa mission,unatekeleza,unangoja mission nyingine au unauawa...hapo utaijuaje tiss!?
 
Tiss unachukulia,unatrain,unapewa handler,ikitokea mission anakuita mahali...Wana bar zao,au popote pale,unapewa mission,unatekeleza,unangoja mission nyingine au unauawa...hapo utaijuaje tiss!?
Achana na usinihusishe na vistori vya vijiweni.
Nimekwambia tafuta mada nyingine, achana na usiyoyajua.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo

Hawa wanyarunda si watu wa kucheza nao. Mbali na hao majasusi unaosema, wapo wengi sana wasiofahamika kuwa ni majasi na wameajiriwa serikali na pia wengine wameolewa Tanzania. Ni vyema mamlaka husika waanze ufuatiliaji wa wanayarunda walio nchini wajulikane wanachokifanya, vinginevyo watatuweka mahali pabaya
 
waache waje bana nasisi tupate mademu wakali wa kitusi

aw watu ni hatari sana. Ukioa mnyarwanda, basi ujue maisha yakoyapo hatarini. Hawa watu wana siri nzito sana. Lazima azae na mnyarwanda hata kama ni mke wako. Pia wanafanyaga vikao vyao usiku, mke ataaga kuwa anasafiri kumbe ameenda kweny vikao vyao vya siri
 
Rwanda, hasa Kagame anaiogopa Tanzania kuliko kitu chochote kile maisha yake yote, sbb anajua tulichomfanya enzi za JK, na akijaribu tena, we must have his thin legs and ass up 4 good..!! Bahati nzuri sana PK anatujua sana, ujinga wake atafanya hapo mashariki ya DRC tu.

Sifa nyingine bana ni kichekesho tu.
 
Kutusurubu hawawezi.mkuu..watu wenyewe hata nusu yetu hawafiki...idadi ya watu ote kwenye nchiyao sawa na idadi ya mgambo wetu tu...mwendo wa saa2 tu.zinawatosha.kuwafuta kabisa .halafu tunaipa rwanda kama mkoa wetu wa kitalii....

Hahahahahahahahahahahahahahaha.......

Russia alidhani haya haya dhidi ya Ukraine, saa hii ngoma imekuwa nzito.
 
Yaani wewe unagundua leo? Mchg. Dr. C. Mtikila alishatupa alert siku nyingi sana nyuma. Na system yao ilim-delete ili asiendelee kuleta madhara upande wao.
Usione Geita, Kahama, Katoro na Mwanza kuna nawiri ukadhani ni kwa nguvu za kidumu cha ccm.
In short ni kwamba hadi kwenye usalama wa nchi, bungeni, mahakamani, n.k tayari jamaa wapo!
Tatizo lenu ccm mnaendesha nchi mkishindana na watanzanja wenzenu badala ya kuimarisha mifumo ya nchi!
Acheni roho mbaya..ndio amana miafrika hatuendelei..yani ndugu zetu weusi tunawaona maadui..mipaka ya wazungu isituletee utengano na uadui.

Yani unamkaribisha mwarabu halafu una mfukuza mrwanda..huu ni upumbafu na ukosefu wa akili kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ieleweke kama kweli wapo majasusi wa Kutoka Nchi jirani ambao wapo kwa lengo maalum walilotumwa kulifanyia kazi basi ni lazima watakuwa wameingia kihalali kabisa na wanaishi na kufanya kazi zao zinazoonekana kihalali kabisa (undercover) hapo sasa ndio umahiri wa Taasisi zetu unapohitajika kung'amua kinachoendelea before it's too late !! Kazi hizo huwa zinahitaji watu wenye akili kubwa sana !! Tuwe macho !!

Tiss inapambana zaidi na wapinzani, mambo haya kwao sio issue kabisa.
 
Hawa wanyarunda si watu wa kucheza nao. Mbali na hao majasusi unaosema, wapo wengi sana wasiofahamika kuwa ni majasi na wameajiriwa serikali na pia wengine wameolewa Tanzania. Ni vyema mamlaka husika waanze ufuatiliaji wa wanayarunda walio nchini wajulikane wanachokifanya, vinginevyo watatuweka mahali pabaya
Ukosefu wa akili tu..kwahiyo kosa wao kuoa na kuolewa Tanzania..kama wamezaliwa na kuwa raia wa Tanzania ni kosa kufanya kazi serikalini..hivi hizi akili za kijinga hivi huwa mnazitolea wapi.

Hao ndio ndugu zetu kuliko ngozi nyeupe..acha waje acha wajae kila pahala ndani ya nchi yetu.

Kingine kama vipi na ninyi pelekeni watanzania huko wakafanye the same shida nini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom