Walimu kibao ni wanyarwanda mwanza
Wengi wao ni wale wa 1959 ambao baadae Rais JKN aliwapa uraia wa kuandikishwa. Wameenda Mwanza kama wananchi wakurya, wahaya na wengine walivoenda Mwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu kibao ni wanyarwanda mwanza
Sifa yao kuu ni kujifanya makada wa CCM lialia. Wanyarwanda wametambua udhaifu wa system ya Tanzania kuwa ni CCM hivyo wanatumia mwamvuli wa ukada kujiingiza ndani ya chama na Selikari kisha kwenye vitengo nyeti sababu wanajua ukiwa mwana CCM mtiifu hakuna wa kukugusa.Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Wewe ni mtusi kima weweNyerere alisema Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.Waafrika tuache kutuhumiana ndio maana hatuendelei .Wazungu wa Ulaya ruksa kuishi popote Ulaya mradi uwe na shughuli yako halali Sisi tunazibiana bila sababu za msingi. Tunafungua nchi kwa wazungu wakati Sisi kwa Sisi tunafungiana
Mtu kama ana shughuli halali mwache
Waafrika tufike mahali tuone Afrika kama nchi moja ambako ni kwetu tusiwe na vimawazo vya kila mmoja kuwaza ohh mimi kwangu Rwanda au kwangu Tanzania au Uganda ni ujinga.
Mleta mada hata wewe ruksa nenda Rwanda kawekeze tena kule Taratibu za uwekezaji rahisi mno.Wame digitalize kila kitu husumbuki
Mawazo ya kila ukimuona mnyarwanda kutuhumu jasusi hiyo si sahihi .Nchi zetu maskini mno tuna hitaji kubwa la kiuchumi tuinuke kuliko kuhangaika na kujasusiana na kila mtu kutuhumu maskini mwenzie kuwa anamfanyia ujasusi
Wapumbavu kabisa hawa..mijianaume mizima inalialia Rwanda this Rwanda that..Hizi. Akili hizi,kwanini mnaogopa sana watu wenye asili ya ngara,Kagera,Uganda,Rwanda,Burundi?juzi hapa Mbunge wa mureba,chals mwijage alisema anawajomba Uganda!,kitu Cha kawaida,Raisi wetu anawajomba uarabuni!na sasa hv waarabu wananunua mbuga zetu!Hilo haliwatishi!lakini mkiona mtu Kagera,kahama,ngara,Kigoma anafanana na wanyarwanda,mnamuita jasusi!
Huwezi. Kutofautisha wenyeji wa kagera,ngsra na watu wa Rwanda!
Maasai wapo Kenya,na TZ hawawatishi,jaluo wapo Kenya na TZ,hawawatishi,kwanini mnaogopa mtu anayefanana na watu wa Rwanda,
You mother fuckers!stop this triblephobia/ethinicophobia
Wewe nawe mzenji una matatizo..hivi kuna watu wanaakili finyu kama wavisiwani huko...jpm kalala lakini kutwa kumuongelea..huo ndio unyani aliouongelea mrh Mtikila.Kaongea ukweli. Wabongo wafupi, labda mkizaa na watusi warefu mtapata watoto warefu wasiokuwa na short man complex kama Magufuli. Ukiangalia historia, madikteta wengi ni wafupi.
Wakazi asili wa Tanganyika ni wahadzabe...makabila mengine wote mmewakuta.Unashangaa nini wakati mwendazake hakuwa mtanzania asilia na tulikubali akalie ikulu yetu
Umenikumbusha na ule unyani au epidomia.Marehemu Mtikila aliwai kusema wanyarwanda wamo mpaka Ikulu ya Magogoni.
Ipo siku Bahima Empire itashika hatamu kama ilivyokusudiwa.
Jidanganye tuu hivyo hivyo endelea kudhani hivyo hivyoNadhani Tanzania ndio ina mfumo mbaya sana katika nyanja ya kuingia na kutoka. Ni rahisi sana kwa Mkenya, Mganda, Mrwanda nakadhalika kuingia Tanzania na kuishi bila bughudha yoyote ile kama tu anajua kuongea kiswahili. Wakati huo huo ni ngumu sana kwa Mtanzania kuishi Kenya, Uganda nakadhalika bila bughudha ata kama hizo nchi zinatumia lugha ya Kiswahili na wewe unatambua kuzungumza Kiswahili tena kwa ufasaha.
Acheni upuuzi..mipaka ya wazungu isitugawe..yani tunaanzisha uadui na ndigu zetu tuanawasahau maadui zetu halisi ambao ni ngozi nyeupe.Dotto Biteko usimsahau, SiO wa kumuamini
Wewe nawe mzenji una matatizo..hivi kuna watu wanaakili finyu kama wavisiwani huko...jpm kalala lakini kutwa kumuongelea..huo ndio unyani aliouongelea mrh Mtikila.
Anyway jamii ya watu wafupi kwa Tanzania inapatikana maeneo ya pwani..njoo mwanza..njoo mara uone jinsi walivyo jaa kimwili na kiakili warefu sana.
#MaendeleoHayanaChama
Kuwa serious. Kama unataka mademu wa Rwanda nenda huko nadhani wanapokea raia wapya, ukawale utakavyo. Sisi tunatazama usalama wa taifa. Kuwa na adabu.waache waje bana nasisi tupate mademu wakali wa kitusi
Ndio maana wanasema tuwe makini sana na mipakani. Maana jamii za kule ni za kuchangamana sana na za inchi jirani.So maana yake ulinzi wetu mipakani ni dhaifu, sioni ubaya mkitoa taarifa kwa mamlaka husika ili hao wavamizi wakamatwe na kuchukuliwa hatua stahiki.
Twende kwa utaratibu. We unaona Rwanda anajenga mahusiano mazuri na DRC kama lengo ni kuishi kama taifa moja. Kwanini asiende kwa nia nzuri na kuishi vema na majirani zake.Nyerere alisema Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.Waafrika tuache kutuhumiana ndio maana hatuendelei .Wazungu wa Ulaya ruksa kuishi popote Ulaya mradi uwe na shughuli yako halali Sisi tunazibiana bila sababu za msingi. Tunafungua nchi kwa wazungu wakati Sisi kwa Sisi tunafungiana
Mtu kama ana shughuli halali mwache
Waafrika tufike mahali tuone Afrika kama nchi moja ambako ni kwetu tusiwe na vimawazo vya kila mmoja kuwaza ohh mimi kwangu Rwanda au kwangu Tanzania au Uganda ni ujinga.
Mleta mada hata wewe ruksa nenda Rwanda kawekeze tena kule Taratibu za uwekezaji rahisi mno.Wame digitalize kila kitu husumbuki
Mawazo ya kila ukimuona mnyarwanda kutuhumu jasusi hiyo si sahihi .Nchi zetu maskini mno tuna hitaji kubwa la kiuchumi tuinuke kuliko kuhangaika na kujasusiana na kila mtu kutuhumu maskini mwenzie kuwa anamfanyia ujasusi
Mimi ningekuwa Tech guy wenu kuhakikisha hilo linafanikiwa kwakuwapa tech support ya hali ya juu. Drones, hacking, intercoms, etcs zingehusika sana.Yani mama angenipa tender yakuanzisha jeshi binafsi kama la Putin Wagner. Tunashuka Kigali na miamvuli at night under cover of darkness with highlytech sophisticated assault weapons na kutandanza mkong'oto wa aina yake na baada ya hapo tunabadilisha regime na Rwanda inakuwa mpya na upuuz hautaendelea tena East Africa na maziwa makuu kwa jumla.