Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
umejuaje? Kwa ushauri onana na uhamiaji kwa msaada zaidi.
 
Nyerere alisema Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.Waafrika tuache kutuhumiana ndio maana hatuendelei .Wazungu wa Ulaya ruksa kuishi popote Ulaya mradi uwe na shughuli yako halali Sisi tunazibiana bila sababu za msingi. Tunafungua nchi kwa wazungu wakati Sisi kwa Sisi tunafungiana
Mtu kama ana shughuli halali mwache

Waafrika tufike mahali tuone Afrika kama nchi moja ambako ni kwetu tusiwe na vimawazo vya kila mmoja kuwaza ohh mimi kwangu Rwanda au kwangu Tanzania au Uganda ni ujinga.

Mleta mada hata wewe ruksa nenda Rwanda kawekeze tena kule Taratibu za uwekezaji rahisi mno.Wame digitalize lila kitu husumbuki

Mawazo ya kila ukimuona mnyarwanda kutuhumu jasusi hiyo si sahihi .Nchi zetu maskini mno tuna hitaji kubwa la kiuchumi tuinuke kuliko kuhangaika na kujasusiana na kila mtu kutuhumu maskini mwenzie kuwa anamfanyia ujasusi
Unaongea hilo kwakua hujui Historia, Ulaya ipi unasema ni Ruksa kuishi popote? Mbulgaria anaruhusa ya kuishi Norway!??
 
Rwanda inaingia kwa Tanzania mara 36, ni nchi ndogo mno, hizi ni Propaganda za kujipa umaarufu, kwa Umasikini walionao watawekeza kwenye nini?
Sio waafrika wote au wanyarwanda wote maskini

Dangote Mwafrika mwenzetu ngozi nyeusi mbona kawekeza Tanzania

Tufike mahali tukubali kuwa kuna waafrika wenzetu ngozi nyeusiwawe Rwanda nk waweza kuwekeza
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Kulikuwa na mada hapa JF siku mbili au tatu zilizopita inayofanana na hii yako; lakini haijulikani ilikoishia mada hiyo!

Kazi ya majasusi wa Rwanda ipo hadi hapa JF pia?

Hata hapo chini palipoorodheshwa mada zinazofanana na hii yako, huoni swala la Rwanda moja kwa moja.

Rwanda chini ya Mr Slim ni hatari kubwa kwa usalama wa eneo lote hili.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Ndoto ya Watutsi kuanzisha Bahima Empire ndiyo inatekelezwa hivyo,tulishaonya siku nyingi kuhusu hawa wajivuni.
 
Nadhani Tanzania ndio ina mfumo mbaya sana katika nyanja ya kuingia na kutoka. Ni rahisi sana kwa Mkenya, Mganda, Mrwanda nakadhalika kuingia Tanzania na kuishi bila bughudha yoyote ile kama tu anajua kuongea kiswahili. Wakati huo huo ni ngumu sana kwa Mtanzania kuishi Kenya, Uganda nakadhalika bila bughudha ata kama hizo nchi zinatumia lugha ya Kiswahili na wewe unatambua kuzungumza Kiswahili tena kwa ufasaha.
Wakenya waliuza Sana nyumba zao bongo kwa Bei chee..wakati wa lile Sako la raia wa nje kipindi Cha jk..huwa tunatazama Kama hatuoni,utadhani wajinga,muda ukifika utajua wewe ndiye mjinga
 
Mkuu hao jamaa wamejipenyeza sana kuanzia hapo Eagle wing, majeshi yote,TRA na kila sehemu nyeti wapo
2007 pale jasusi letu lenye muonekano wa kitusi lilikusanya taarifa nyingi nyeti Rwanda...tangu pale kagame akawa haji hafla za kitaifa tz...2013 ndiyo ile mikwara kwa nchi na jk...Mambo ya nchi huwezi yajua mzee,we ishi,Tia watoto wazuri..wenye kazi yao hawalali
 
Hivi mtaacha kuishi kwa hofu ya watutsi hadi lini?

Hizo propaganda mnazopewa za kuwaona ni superior race na intelligent sana zinawadanganya sana

Hao waarabu, wahindi tena wengine hawajui Kiswahili ila ni watanzania mbona hamu hoji?

Mnatakiwa kujua kuwa Kuna Wahima wapo kanda ya ziwa kabla ya uhuru sasa mkiwaona hao kwa kuwa wanafanana na Watutsi basi shingo zinawashupaa na wivu tu
 
Urusi kuna diwani Mwafrika ngozi nyeusi Jean Gregoire Sagbo huyo hapo Sisi Afrika tuko primitive mno Urusi wazungu watupu walimchagua mtu mweusi kuwa diwani eneo lao ambako hakuna mweusi hata mmoja

Jean Gregorie Sagbo, Russian Politician​

jean-gregoire-sagbo-copy-300x221.jpg

Jean Gregoire Sagbo

*Jean Sagbo was born on this date in 1959. is a Black Russian real estate agent and politician.

Jean Gregoire Sagbo was born in Cotonou in the southern coastal region of the Republic of Dahomey (Benin). He immigrated to the USSR in 1982 to study economics in Moscow. He married a woman from Novozavidovo, a town of approximately 10,000 people located 100 km north of Moscow, and moved there in 1989. He has two children.

During his first year in Novozavidovo, Tver Oblast his then four-year-old son Maxim was spat upon. Sagbo confronted the spitter and eventually other onlookers supported Sagbo. Racial attacks have taken place numerous times in Russia, 49 times in Moscow in one year according to an advocacy group. Sagbo speaks in French African accented Russian. About 10 years before his first election, he organized a volunteer effort for an annual garbage collection day. He also planted flowers and cleaned streets in front of his home without pay.

As a counselor, Sagbo collected donations to turn dilapidated lots between buildings into parks. Sagbo was elected in 2010. He has expressed annoyance at being referred to as "Russia's Obama" because the two are both merely Black. The position of a councilor is unpaid. His position is councilor of Novozavidovo in Konakovsky District, Tver Oblast. Sagbo is the first Russian of African descent, or Afro-Russian, to have been elected to a local council in the Russian Federation.

Sagbo has been quoted as saying "Novozavidovo is dying...this is my home, my town. We can't live like this." Vyacheslav Arakelov, the mayor of Novozavidovo said: "His skin is black, but he is Russian inside...the way he cares about this place, only a Russian can care." Sitting in the newly painted playground with her son, Irina Danilenko said it was the only improvement she has seen in the five years she has lived here. "We don't care about his race," said Danilenko, 31. "We consider him one of us."

As he strolled around his neighborhood everyone greeted him and he responded in his fluent, French African accented Russian. Boys waved to Sagbo, who had promised them a soccer field. He has been referred to as "Russia's Obama".
 
Hivi mtaacha kuishi kwa hofu ya watutsi hadi lini?

Hizo propaganda mnazopewa za kuwaona ni superior race na intelligent sana zinawadanganya sana

Hao waarabu, wahindi tena wengine hawajui Kiswahili ila ni watanzania mbona hamu hoji?

Mnatakiwa kujua kuwa Kuna Wahima wapo kanda ya ziwa kabla ya uhuru sasa mkiwaona hao kwa kuwa wanafanana na Watutsi basi shingo zinawashupaa na wivu tu
Hatujafumba macho, wanayoyafanya Congo tunayaona wazi wazi, huyo ni rafiki wa mashaka.
 
So maana yake ulinzi wetu mipakani ni dhaifu, sioni ubaya mkitoa taarifa kwa mamlaka husika ili hao wavamizi wakamatwe na kuchukuliwa hatua stahiki.
Ndyo taarifa imetolewa hivi sasa, maana viongozi wengi wanafuatilia Jf kwa karibu sana
 
Back
Top Bottom