Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Mleta mada ana akili kama yule nguli wa propaganda za kidiplomasia aliyebuni na kuandaa "maandamano ya wamasai" kwenye ubalozi wa Kenya jijini Dar es salaam!

Hii nchi tunaonekana wote hamnazo kwasababu ya kakundi kadogo ka makada wa CCM!
Kabla hamjazima chokochoko mliyoanzisha kwa wakenya sasa mnataka kuwachokoza Rwanda?
 
Mleta mada umenikumbusha mambo ya vijijini

Watu kutuhumiana uchawi kuwa huyu anamloga huyu wakati wote maskini wa kutupwa !! Kuwa hasa wanalogana kwa lipi maskini wakubwa wa kutupwa

Rwanda ni nchi maskini na Tanzania nchi maskini

Maskini kwa maskini wanatuhumiana kufanyiana ujasusi aiseeeee!!

Afrika tuna safari ndefu
 
Mleta mada umenikumbusha mambo ya vijijini

Watu kutuhumiana uchawi kuwa huyu anamloga huyu wakati wote maskini wa kutupwa !! Kuwa hasa wanalogana kwa lipi maskini wakubwa wa kutupwa

Rwanda ni nchi maskini na Tanzania nchi maskini

Maskini kwa maskini wanatuhumiana kufanyiana ujasusi aiseeeee!!

Afrika tuna safari ndefu
Tanzania sio masikini ila watu wake ndio masikini !! Ukiniuliza kwanini ? Nitajibu hata Mimi sijui ! (Kama alivyojibu mstaafu mmoja wa zamani) !!
 
Inanishtua tu kwasababu Gen James Kabarebe aliwahi kupensya DRC mpaka kuwa mkuu wa majeshi wa nchi hiyo.

Kwa Rwanda wakiwa vizuri kwa uzalendo wao wanaweza kuiteka hata Afrika. You know what??
 
Rwanda, hasa Kagame anaiogopa Tanzania kuliko kitu chochote kile maisha yake yote, sbb anajua tulichomfanya enzi za JK, na akijaribu tena, we must have his thin legs and ass up 4 good..!! Bahati nzuri sana PK anatujua sana, ujinga wake atafanya hapo mashariki ya DRC tu.
Mkuu PK anaweza kuanza na Wewe as individual. Hashindwu yule jamaa. Pesa zote za wafadhili amewekeza kuwasaka maadui zake dunia nzima
 
Haya madai yako umeyathibitisha vipi?

Sijui kama wale UVCCM waliojaa TISS wanaweza kuyafanyia uchunguzi wowote wa maana.
Sasa UVCCM wana uwezo wa kufanya uchunguzi kwa jambo lolote?
 
Marehemu Mtikila aliwai kusema wanyarwanda wamo mpaka Ikulu ya Magogoni.
Ipo siku Bahima Empire itashika hatamu kama ilivyokusudiwa.
Bahima iko very commited. Zamani nilijua ni consipracy lakini naanza kuona ukweli kutokana na harakati zao. EAC iko hatarini
 
Mimi nilishangaa walipotaka kuwapa mkoa wao wa Chato. Hii nchi siku hizi hatupo siriasi.
Rwanda na Burundi wanazaana mno,nchi zao na rasilimali ni ndogo.
Hata vita vya wao kwa wao vinatokana na upungufu wa rasilimali za nchi zao.
Ingawa wapo Jumuiya ya Afrika Mashariki lakini bado ni mzigo.Kama waliweza kujipenyeza na kuweza kutwaa kipande kikubwa kitakachokuwa mkoa wa Chato basi Intelligence yetu itakuwa na walakini.
JK ndio kiboko yao,lakini asionewe mtu.
 
Marehemu Mtikila aliwai kusema wanyarwanda wamo mpaka Ikulu ya Magogoni.
Ipo siku Bahima Empire itashika hatamu kama ilivyokusudiwa.
Shida nini wakishika?

Marekani Jaluo wa Kenya Barak Obama kashika Marekani mambo yakawa safi tu.Mkuu wa kitengo cha upelelezi cha CIA marekani ni mhindi

Uingereza Waziri wa fedha mhindii toka India na Waziri wa mambo ya ndani na usalama wa taifa ni mhindi.Fikiria wizara ya usalama wa taifa anakabidhiwa mhindi sio raia mzawa muingereza!!

Waziri wa nishati,biashara na viwanda uingereza ni mtu mweusi toka Ghana Mr Kwarteng

Swala sio kazaliwa wapi ni je yuko vizuri kusimamia nchi na uchumi nk
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Na nyie mwende mkawekeze Rwanda.wote tuko jumuiya moja na mikataba mmeingia.
 
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Whaat? Wakati Ruanda-Urundi ilikuwa sehemu ya utawala wa Tippu Tip, sasa huyo Nyerere alikuwepo kweli wakati wa kugawana kontinent la Afrika?

Waache tu waje wapewe kipigo cha Amini.
 
Back
Top Bottom