Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Kama waliweza kujipenyeza na kuweza kutwaa kipande kikubwa kitakachokuwa mkoa wa Chato basi Intelligence yetu itakuwa na walakini.
Akili yako ndogo kwa hiyo wajaluo wa Kenya walitwa Tarime?. Au wamasai wa Kenya walitwaa mkoa wa Arusha?

Au makonde wa Msumbiji walitwaa Mtwara ? Au Wakurya wa Kenya walitwaa mkoa wa Mara? Mikoa ya mipakani mbona vitu vya kawaida
 
Hawa jamaa basi tuu ni nyoka na wanajifanya wanaakili sana.....sasa dawa yao ni kuwasaka na kuwapa haki yao, wanachokifanya DRC hakifurahishi hata kidogo.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Poor you na pole sana kwani usichokijua tu ni kwamba 'Watutsi' kutoka Rwanda wamejaa hadi Ofisi na Taasisi za Mama.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Wako wengi Sana,huku Rukwa mmja wao ni mwenyekiti wa ccm Mkoa.
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Na wewe umejiweka? Au unafikiri hatujui kuwa ni mmoja wa mapandikizi wa Bahima empire?

Tunajua mmejaa sana Geita , Kigoma, Shinyanga, Kagera na sasa mnahamia kwa wingi Katavi mkijiita wasukumu kumbe ni Bahima empire
 
Mmechelewa sana Wapuuzi nyie tunawatamani kweli mtuchokoze ili nchi yenu iwe sehemu ya Taifa letu la Rwanda Oky?
Hahaa, hako ka tarafa kenu ndio kakutupiga sisi mkwara? Mnadhani tuna muda wa kupigana na nyie? Sisi tuna mambo mengi ya kuhangaika nayo asee. Nyie mtapigana na Kigoma peke yake. Na ninavyowafahamu ndugu zetu Waha wa kigoma kwa ubishi, ni siku tatu tu watakua washaingia mpaka Kigali.

East and Central Africa hakuna anaetuweza. Na sababu pekee ya kuwaacha muingie huku kwetu, ni kwakua tunawamudu vizuri kabisa. Tanzania ingekua dhaifu ingeshaanguka zamani sana. Ila mpaka leo tuko hapa East African giants sababu ya uimara wetu.


By the way, kama mimi ndio nikiwa mkuu wa majeshi Tanzania alafu najikuta vitani na Rwanda, basi hiyo ndio itakua vita fupi kuwahi kutokea. Picha linaanza tukiwapa wahutu silaha, ndani ya masaa 24 hakutakua na mtusi hapo Rwanda. Hapo bado kuna wale waasi wenu wanashambulia kutokea DRC. Sasa jeuri ya kupambana na sisi mnaitoa wapi?


Askari wenu wengi tu tumewatrain sisi hapo Monduli, it's because you know there is something worth learning. Kwanini hamkuwapeleka Burundi au Congo? Mnajua bana mziki wetu!

Hako ka nchi kenu tukishusha special forces, tunakachukua within 24 hours, then tunakageuza kua mkoa, na mkuu wa mkoa atakua Joseph Kasheku a.k.a Musukuma!


Aisee msitujaribu, maana pisi zenu tunazitamani kinoma. Chungeni adabu yenu!
 
Tanzania sio masikini ila watu wake ndio masikini !! Ukiniuliza kwanini ? Nitajibu hata Mimi sijui ! (Kama alivyojibu mstaafu mmoja wa zamani) !!
Umaskini wa taifa ni hesabu ya kujumlisha yaani summation
Unajumlisha individuals maskini kupata umaskini wa taifa kwa nininwao maskini hilo hakuna awezaye kujibu zaidi ya maskini mwenyewe
 
Mmechelewa sana Wapuuzi nyie tunawatamani kweli mtuchokoze ili nchi yenu iwe sehemu ya Taifa letu la Rwanda Oky?

Huu ni uharo wa kipindupindu hiyo Tarafa ya songambele itachezea kipigo mpaka basi. Nyie sio watu kabisa kabisa ni kagroup ka waouvu tuu nawatamani sana aiseee.
 
Dotto Biteko usimsahau, SiO wa kumuamini
Nje ya hoja yako, kwakweli kwasasa nyie wenye dhamana ya ulinzi wa Taifa hili nawaomba sana endeleeni kufanya bidii na kwasasa fanyeni bidii zaidi.
 
Kati ya nchi zilizipo katika eneo la maziwa makuu, nchi ambayo haiwezi wala haina uthubutu, msuli ama ubavu wa kuwa tishio la kiusalama ama kijeshi kwa nchi yetu ya Tanzania ni Rwanda. Jeuri na matishio ya nchi hii ni kama vile kelele za mbwa koko, mkwara kidogo tu hunywea mkia chini.

Jakaya akiwa madarakani aliwanyoosha kweli kweli. Acha waendelee na jeuri, dawa yao ipo jikoni wasijaribu hata kidogo kuilinganisha TZ na DRC!
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Rwanda inaingia kwa Tanzania mara 36, ni nchi ndogo mno, hizi ni Propaganda za kujipa umaarufu, kwa Umasikini walionao watawekeza kwenye nini?
 
Back
Top Bottom