Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Namuona Kagame kama Putin wa EAC . Atatusurubu muda si mrefu
Kutusurubu hawawezi.mkuu..watu wenyewe hata nusu yetu hawafiki...idadi ya watu ote kwenye nchiyao sawa na idadi ya mgambo wetu tu...mwendo wa saa2 tu.zinawatosha.kuwafuta kabisa .halafu tunaipa rwanda kama mkoa wetu wa kitalii....

Hahahahahahahahahahahahahahaha.......
 
Kutusurubu hawawezi.mkuu..watu wenyewe hata nusu yetu hawafiki...idadi ya watu ote kwenye nchiyao sawa na idadi ya mgambo wetu tu...mwendo wa saa2 tu.zinawatosha.kuwafuta kabisa .halafu tunaipa rwanda kama mkoa wetu wa kitalii....

Hahahahahahahahahahahahahahaha.......
Unajua ya kwamba Rwanda ndiyo nchi yemye solaha za nyukilia EAC?
 
Nadhani Tanzania ndio ina mfumo mbaya sana katika nyanja ya kuingia na kutoka. Ni rahisi sana kwa Mkenya, Mganda, Mrwanda nakadhalika kuingia Tanzania na kuishi bila bughudha yoyote ile kama tu anajua kuongea kiswahili. Wakati huo huo ni ngumu sana kwa Mtanzania kuishi Kenya, Uganda nakadhalika bila bughudha ata kama hizo nchi zinatumia lugha ya Kiswahili na wewe unatambua kuzungumza Kiswahili tena kwa ufasaha.
 
Unajua ya kwamba Rwanda ndiyo nchi yemye solaha za nyukilia EAC?
Africa hakuna nchi yenye vigezo vya kurutubisha nyukilia kama kwenye siraha na hata mambo mengine...
Rudi.ukasome ule mkataba wa IAEA...

Labda siraha.za sumu..
Tungekua tumetimuza vigezo.tusingekua tunahangaika na umeme wa maji...tangu uhuru hadi.leo hata.1400.MW hatuna.
 
Kwann usichangie na utake kuanzisha Uzi?

Niseme tu ukweli hii nchi kwenye Intelejensia hakuna wa kuifikia AFRIKA MASHARIKI. Itoshe kusema hivyo.
Mwenda zake alitaka kujiingiza kichwakichwa...baada ya kelele za aina hii baadae akaelewa.....
 
Inawezekana ni kweli unachokisema lakini pia inawezekana hujataka kumuelewa mleta mada.

Sheria na Sera kwa Tanzania? Labda

Kipindi cha Msoga, kulikuwa na general mmoja wa jeshi, wakasema ni wa huko, kelele kelele zile baada ya operation ile, jambo likafanyika aisee, sisi ndo tukajua kumbe ni kweli na wamepenyezwa wengi. Nadhani M23 alichapika kipindi hicho pia.
Haaaa haaaa nakumbuka slim almtisha msoga kumpa za uso ,msoga akaka chimbo kwa muda then kaibuja na kichapo kwa m23
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Acha uchonganishi wa ki local. Tena my wishes tuwe na free pasi kwa EAC
 
Yani mama angenipa tender yakuanzisha jeshi binafsi kama la Putin Wagner. Tunashuka Kigali na miamvuli at night under cover of darkness with highlytech sophisticated assault weapons na kutandanza mkong'oto wa aina yake na baada ya hapo tunabadilisha regime na Rwanda inakuwa mpya na upuuz hautaendelea tena East Africa na maziwa makuu kwa jumla.
Mgeresi bhana..
 
Tanzania tuna shida wahutu na watusi wakitoka kwao kuishi Tanzania wanaendeleza vita zao za ukabila kwenye Ardhi ya Tanzania badala ya kutulia waendelee na maisha yao kama kawaida

Mleta mada atakuwa mhutu anaowatuhumu watakuwa watusi sababu ya muonekano wa miili yao

Sio vizuri .Wahutu na watusi wa Rwanda na Burundi mkifika Tanzania mavita yenu ya kikabila yaacheni huko huko kwenu.Fanyeni biashara tafuteni maisha basi ukabila tupeni mpakani mnapoingia Tanzania
 
So maana yake ulinzi wetu mipakani ni dhaifu, sioni ubaya mkitoa taarifa kwa mamlaka husika ili hao wavamizi wakamatwe na kuchukuliwa hatua stahiki.
Ieleweke kama kweli wapo majasusi wa Kutoka Nchi jirani ambao wapo kwa lengo maalum walilotumwa kulifanyia kazi basi ni lazima watakuwa wameingia kihalali kabisa na wanaishi na kufanya kazi zao zinazoonekana kihalali kabisa (undercover) hapo sasa ndio umahiri wa Taasisi zetu unapohitajika kung'amua kinachoendelea before it's too late !! Kazi hizo huwa zinahitaji watu wenye akili kubwa sana !! Tuwe macho !!
 
Nadhani Tanzania ndio ina mfumo mbaya sana katika nyanja ya kuingia na kutoka. Ni rahisi sana kwa Mkenya, Mganda, Mrwanda nakadhalika kuingia Tanzania na kuishi bila bughudha yoyote ile kama tu anajua kuongea kiswahili. Wakati huo huo ni ngumu sana kwa Mtanzania kuishi Kenya, Uganda nakadhalika bila bughudha ata kama hizo nchi zinatumia lugha ya Kiswahili na wewe unatambua kuzungumza Kiswahili tena kwa ufasaha.
Ni kweli kabisa !!
 
Back
Top Bottom