Hizi. Akili hizi,kwanini mnaogopa sana watu wenye asili ya ngara,Kagera,Uganda,Rwanda,Burundi?juzi hapa Mbunge wa mureba,chals mwijage alisema anawajomba Uganda!,kitu Cha kawaida,Raisi wetu anawajomba uarabuni!na sasa hv waarabu wananunua mbuga zetu!Hilo haliwatishi!lakini mkiona mtu Kagera,kahama,ngara,Kigoma anafanana na wanyarwanda,mnamuita jasusi!
Huwezi. Kutofautisha wenyeji wa kagera,ngsra na watu wa Rwanda!
Maasai wapo Kenya,na TZ hawawatishi,jaluo wapo Kenya na TZ,hawawatishi,kwanini mnaogopa mtu anayefanana na watu wa Rwanda,
You mother fuckers!stop this triblephobia/ethinicophobia