Hatari: Mwisho wa Dunia October 2017

Hatari: Mwisho wa Dunia October 2017

Tayari imekwisha thibitishwa kwamba Dunia Itapigwa na jiwe kubwa toka angani
''Asteroid" siku ya Tarehe 12 October 2017.
Pia jiwe hilo (asteroid) limepewa jina la ''2012 TC 4 Asteroid''.

Jopo la wana sayansi Duniani wameshirikiana kuangalia ni namna gani wataepusha balaa hili.
Nanukuu moja ya mazungumzo.It's inevitable.

Ndugu zangu kaeni Tayari.

Hakuna ajuae siku wala saa
 
Kuanzia sasa napokea vitu vyenu vya thamani maana wmwisho wa dunia unakuja. Leteni magari, dhahabu n.k.
Piga 0784####220 kwa mawasiliano ya namna ya kuvileta vutu vyenu.
 
Kuanzia sasa napokea vitu vyenu vya thamani maana wmwisho wa dunia unakuja. Leteni magari, dhahabu n.k.
Piga 0784####220 kwa mawasiliano ya namna ya kuvileta vutu vyenu.
Vitapitia kwangu kwanza ili kuvitakasa, na wote watoao,wataiona pepo.
Imeandikwa..ni heri kutoa kuliko kupokea.
Karibuni
hasa PM.
 
Kama Mungu alisema katika maandiko kua ni yeye pekee anayejua hiyo siku, hakuna mwingine mbinguni wala duniani anayeifahamu, sasa sijui hao majamaa wamejuaje.
 
Ndo yaleyale ya mwaka 2000

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Tayari imekwisha thibitishwa kwamba Dunia Itapigwa na jiwe kubwa toka angani
''Asteroid" siku ya Tarehe 12 October 2017.
Pia jiwe hilo (asteroid) limepewa jina la ''2012 TC 4 Asteroid''.


Jopo la wana sayansi Duniani wameshirikiana kuangalia ni namna gani wataepusha balaa hili.
Nanukuu moja ya mazungumzo.It's inevitable.

Ndugu zangu kaeni Tayari.

Target yake itakuwa upande upi wa dunia? Halafu lile lililopiga wakati ule na kuwaondoa dinosaurs mbona halikuibomoa dunia na kuondoa uhai wote na badala yake viumbe vingine vipya kama binadamu vilitokea. Au maana yako ya mwisho wa dunia ni uhai kutoweka? Kuna theory inasema yawezekana comets, asteroids za mwanzo zili-deliver uhai i.e. viumbe tofauti na maji, basi yawezekana na hili litaondoa some na ku-deliver something wonderful.
 
Target yake itakuwa upande upi wa dunia? Halafu lile lililopiga wakati ule na kuwaondoa dinosaurs mbona halikuibomoa dunia na kuondoa uhai wote na badala yake viumbe vingine vipya kama binadamu vilitokea. Au maana yako ya mwisho wa dunia ni uhai kutoweka? Kuna theory inasema yawezekana comets, asteroids za mwanzo zili-deliver uhai i.e. viumbe tofauti na maji, basi yawezekana na hili litaondoa some na ku-deliver something wonderful.
Naam uko sawa mkuu
Nasikia itakuwa mazao yanajifungua
na nyama zitapandwa mashambani
 
Wewe Mama Mdogo wewe ni nani ? una utaalamu wa mambo gani ?. Nimekubali sana mambo yako
 
Last edited by a moderator:
Kama Mungu alisema katika maandiko kua ni yeye pekee anayejua hiyo siku, hakuna mwingine mbinguni wala duniani anayeifahamu, sasa sijui hao majamaa wamejuaje.

Mbona mambo mengi sana wametuambia wana sayansi na tumeamini, walisema dunia inaelea, inazunguka toka upande mmoja kwenda mwingine, dunia ni mviringo, na mambo mengi ya kibaolojia na hivi vyote kwenye biblia hajiandikwa, sasa ugumu unakuja wapi kutoamini kuwa jiwe litaipiga dunia ?, au tukiletewa kauli za kufa ndiyo tunakuwa waoga ?. Hawa hawa wanasayansi wakizungu na asia waligundua uwepo wa gesi kule mtwara na tuliamini fasta mpaka tukaanza kugombana, kama vp hata mambo mazuri wanayogundua tusiamini tuwaachie kila wao na mautafiti yao kwa faida yao, wakigundua mafuta bahari ya hindi wachimbe wasipe zao na sisi tusubiri Mungu ashuke ndiyo atuambie vya kuamini
 
Hiyo asteroid wakati inakuja itakuwa inatoa mwanga ambao kila mtu atauona (Ikumbukeni ahadi ya Yesu kwa wale waamini)

kwani yesu alisema tutaona mwanga au tutamwona yeye...
 
Hata hivyo maandiko yanasema (kwa wanao amini) dunia itachomwa moto si kupigwa jiwe!!
 
asante shieka, wataalam wanatueleza kuwa kuna mawe mengi tu yako huko anga za juu yanazunguka zunguka na hayako katika uelekeo wa kuipiga dunia. Mfano mnamo tarehe 12 aprili 2015 kulikuwa na mawe 1572 ya namna hiyo na kila siku yangunduliwa mengine. Hilo jiwe asteroid 2012 tc4 liligunduliwa mara ya kwanza na pan-starrs observatory in hawaii tarehe 4 oktoba 2012. Tarehe 12 oktoba 2012 jiwe hili lilipita karibu na dunia kwa umbali wa maili 59,000 (kilomita 95,000 kilometers). Jiwe hili linarudi tena kwenye uelekeo wa dunia na linatarajiwa kufika na kuja welekeo wa dunia yetu na linatafika tarehe 12 oktoba 2017. Hadi sasa halijulikani kama litaipiga dunia au litapitiliza kama mwaka 2012. Wataalam wanatueleza kuwa: “it has a 0.00055% cumulative chance that it will hit,” na kuwa “there is one in a million chances that it could hit us”. Makoto yoshikawa of the japanese aerospace exploration agency (jaxa), member of neos division at the international astronomical union (iau) is convinced that the asteroid poses no danger to earth. “the distance is very small. But this distance does not mean the collision,” he said.maandiko matakatifu kwa sisi wakristo yanatueleza kuwa: “but concerning that day and hour no one knows, not even the angels of heaven, nor the son, but the father only”-mathew 24:36. Kwa hiyo bandugu, if you trust science, just relax and enjoy life!!
asante ma mdogo
 
Hiyo asteroid wakati inakuja itakuwa inatoa mwanga ambao kila mtu atauona (Ikumbukeni ahadi ya Yesu kwa wale waamini)

we acha uongo, hakuna anayeijua siku ile ya mwisho, ila baba- Jesus.
 
Back
Top Bottom